Saturday, March 2, 2024

MVUTO NO 2

Unataka kua na mvuto kwa watu kua na mvuto wa kupata pesa katika miangaiko yako biashara zako Kubarikiwa Naam Twende sawa Tafuta dawa hizi Muosha fedha Mkulungu Mkongowele Kasela ya Bara Itinginya Changanya mchanganyiko wa dawa hizo kisha Utakua Unaoga Asubuhi na jioni siku 7 mfululizo kwa kuweka Na Sarafu za hela kuanzia 3,5 Mpaka 7 kisha ukimaliza kuogea siku hizo 7 hizo sarafu za hela wape watoto wakatumie Naam..

LIMBWATA

JINSI YA KUMVUTA MPENZI NDANI YA SAA 24 KWA KUTUMIA NAZI: Angalizo: Usifanye kwa mume/mke wa mtu dawa hii akatelekeza familia yake tafadhali, Dawa hii ni kwaajili ya kumvuta mwanaume/mwanamke unayehitaji awe na mahusiano na wewe yaani akupende na akuhitaji kama hamjawa katika mahusiano basi baada ya kufanya hii dawa atavutika na wewe na kukutafuta, na kama tayari mna mahusiano ila hayaeleweki au hayana nguvu basi baada ya dawa hii mtakuwa karibu mno na atakuwa karibu na wewe mpaka utamuonea kero!..hivyo kama unataka mwanaume/mwanamke awe karibu na wewe zaidi kimapenzi mfanyie hii dawa! na sharti kubwa la dawa hii kwa wanawake ukitaka kuifanya basi usiwe kwenye siku za hedhi. JINSI YA KUFANYA: Chukua nazi mbili. Kisha andika jina lake na la mama yake mara mbili kwenye hizo kona za nazi kwa kutumia zafarani nyekundu kisha fuata hatua hizi.. 1. Vunja nazi zote vipande viwili. 2. Chukua maji ya bahari changanya na ndele na kila kipande kimoja cha nazi tia maji hayo. 3. Weka kila kipande katika kona moja ya chumba chako, kaskazini na kusini. mashariki na maghrabi. 4. Katika kila kipande kimoja washa pembeni yake mshumaa mweupe, iwe kuanzia saa sita kamili usiku 5. Kaa katikati ya chumba hicho elekea upande wa magharibi huku ukiwa juu ya kitambaa cheupe kisha sema kwa kuamrisha yote unayohitaji kutoka kwa huyo muhusika ukitaja jina lake na la mama yake 6. Iache mishumaa iwake mpaka izimike yenyewe. Na mabaki yote yafunge na kitambaa cheusi na uyatupe njia panda wakati jua linazama. ITACHUKUA MASAA 24 TU [SIKU 1] KUWA KAMA ULIVYOTAKA. toa kigongo weka gongo toa kombola weka tofali weka ugoko niweke chuma ashiiii iii ni kiboko kwa wale wakaidi wa mapenzi unapendwa alafu unaleta maringo sasa iii ni zamu yako ya kubuluza naam ndugu zangu una mwenza wako kisumbufu una mwenza wako kakimbia kambi leo sasa nakupa njiia ii rais pia kali sana na kama umpendi usimwekee iii kitu mana utapata tabu na kusumbuliwa kimapenz mda wote twend sawa tafuta majani ya mnanaa na mbegu zake kausha zikauke vizur kisha sanga vyote upate unga utachanganya na ubani zukra na changanya daawa izi mkumbi na mkumbukwa changanya mchanganyo uwo utanyunyuzia na asali katika mchanganyo wako na kusema kama asali tamu na inatibu magonjwa mengi bac mm nakutuma asali ukanivutie fulani bin fulani akumbuke utamu wangu kama wewe asali unavyo pendwa na kila mtu mkumbukwa nakutuma ukanikumbushie fulanii bin fulani katk moyo wake anikumbuke akiwa amelala anatembea aniwaze na kunikumbuka mkumbi nataka ukanikumbie ukanivutie fulani bin fulan aje kwangu mbio mbio na anipende anisikilize aiseeee weka mbali na watoto weka mbali na usio wapenda utawatesa na kuona kelo watakuja kwa kasi ya upepo sio mchezo kwaleo tuishi

JOSHO LA MVUTO

Hili ni Josho la mvuto Jisafishe mwili wako kwa kuoga Zaidi na zaidi utaona maajabu yake tafuta Udi Rose Mafuta mazuri Kitambaa cheupu cha kukutosha kuvaa Mliliwa Itinginya Mawaridi Marashi rose Mlipu Mfunguo Kisha vaa hicho kitambaa chako kisha ivyo vitu vyako dawa zako zote zichanganye kwenye ndoo yako ya maji kisha pukuchulia na huo Udi rose humo humo kwenye ndoo yako ya maji kisha iache ichanganyike vizuri Tia Manuizi yako ya kusafisha mwili kuweka mvuto kitambaa cheupe kinaonekana usiku na mchana basi nami nikaonekane kwenye miangaiko yangu iwe kwenye kiza au iwe kwenye mwanga nikaonekane kama kitambaa cheupe kisha ukae kwenye kigoda au kinu uoge hiyo dawa yako utaona maajabu yake ni hatari ilo josho la mvuto...Naam pendelea kuoga mara kwa mara

DAWA YA KUMSAULISHA MTU

Dawa ya kumsaulisha mtu kwa jambo lolote lile ukitakaaa asahau au akusahau na kukupotezea iwe kesi ugomv anakudai nk Naam mashine ya kusaga na kupepeta inapepeta kila kitu kigongo atar icho Twende sawa Tafuta Alimiti Ubani mashtaka Chababilah Ukipata ivyo vitu chukua karatasi andika na pen nyekundu makusudio yako kisha weka dawa zako izo funga vizuri karatasi yako kwa manuizi chukua kitambaa cheusi funga na iyo karatasi mafundo saba ukimaliza nenda sehem iliyo kuwa wazi kama vile uwanjani yan sehem inayo pigwa na jua pasiwe na kivuli ukimaliza fukia rud kaendelee na mmb mengine hakika uyo mtu atasahau kabisa ilo jambo

KUSAFISHA MWILI

Kusafisha mwili pukuchulia udi rose katk dawa yako ukiweka katk maji ya kuoga utatumia kuweka Na marashi rose nenda kaoge asubh Na jion siku 14 Mwangaza Mlipu lipu Mwita Mvute Mkumbukwa Msikiwa Dawa izi ukichanganya na chumvi mawe baruti ya chenga na panga nati ukitaka kuomba kitu kwa mtu au akuelew unatak akusikilize tumia kuchoma utaona habar yake sio mchezo izo dawa Kama mwanaume alikuwa akuelew mwanamke boss mchomee izo kwisha habar yak

DAWA YA BIASHARA

Kivumbasi cha mwinula na chini yake ni ngurukila ya juu yani mti ulio ota juu ya mti mwenzie twende sawa tafuta izo dawa kisha kausha zikauke vzuri kisha twanga upate unga wake mlaini na ukishapata ivyo vitu faida zake izi Naam kama biashara yako imelala wateja wamekuwa kuja kwa mitihani sasa nakupa njia iii ya kuinua iyo biashara utafagia sehem unayo fanya biashara utachukua uwo mchanga changanya na izo dawa zako matumizi kuchoma kwa mwito wa biashara yako hakika wateja watafulika sana fanya ivy siku 7 ad 14 kwa manuizi Naam izo dawa ukitumia kumtuliza mume mke au kumuita kama ameondoka na amekutelekeza chakufanya fanya iv nyoa nywele zako za kwa bibi au babu kisha weka na chumvi ya unga au ya mawe utatumia kuchoma na kutia manuiz ngurukila ya juu wewe umeota juu ya mti mwenzio kwamba awez kukushusha mmemtangulia na mm nataka niwe juu ya fulani yeye awe chini yangu chochote nitakacho mwambia anielewe kabisa na anikumbuke popote alipo asisikilize maneno yoyote zaid yangu na mwinula nataka uniinulie mapenzi ya mimi na fulani yawe moto aniwaze anipende nk weka manuizi hakika utakuja niambia Naam kwa wale wanao taka cheo kazini kupandishwa, kupendwa na watu kila lika hasaminike kuhusu kitu chochote tafuta izo dawa kisha changanya vizimba ivi Ngekewa Kiroto Baraka Asali ya nyuki wadogo Naam chanjia maugoni mwako kwa manuizi hakika utakuwa juu kwa yoyote na kupendwa haswa Naam pia vile vile ni Limbwata Kinga Kuhuwa kesi Dawa za mvuto wa mapenzi Dawa za biashara Dawa za kusafisha nyota Naam tafuta Mkonola Msulula Msekela Msikiwa

KILOMOLOMO

KIKOLOMO ni dawa adhwimi yenye nguvu za ajabu na kuleta MVUTO MKALI WA MAPENZI NA BIASHARA na utakapo liongea huwa halipingwi hii dawa ni mchanganyiko wa vitu ambavyo inatokana na wanyama &ndege na baadhi ya miti kazi zake tuzifahamu zahii kikolomo 1.Ni dawa Kubwa kwa mvuto popote ulipo 2.Ni dawa ambayo ina nguvu ya ukaongea neno mbele za watu wakaogopa na kukaa tu kimya ndio ikaitwa kikolomo 3.Ni dawa ya ajabu sana yenyekukubali kwa watu wenye biashara zinazotegemea maneno (uchunaji/utapeli)nk 4.Pia ukiongea huwa hakipingwi na ukitoa kauli yenye kusikilizwa na kutimiziwa popote pale kazini,mapenz,biashara nk 5.ni dawa ya ajabu sana kwa kugandiwa wasichana/wavulana kwakua ni mvuto tosha adhwimi . 6.Pia ni mvumo mkubwa sana popote utakaposikika au kwenda utakua na kishindo adhwim sana ndugu; Sifa za dawa hii kikolomo 1.kama kazi yako ni kuonekana kwa watu /kupata jina bax utakua fasta aina chenga 2.utawandandia/kuwapanda/kupandwa na watu kama pesa ilivyo hii kiboko 3.itakuweka /sehem penye tatizo lolote lile ukifika wew ukiongea mawili matatu tatizo limeisha 4.utapatwa na taarifa mbali mbali sehemu watu walipo kuandaa ili wakufanyie ubaya na hutokwenda/ukaenda na kujiamin kwako nk Ndugu hii kitu haina magumashi hata kidogo na hii kikolomo ni hatari sana hivi vitu wanachanjiaga watu wakubwa mfano maraisi (president) ,mahakimu ,na watu viongozi wajuu wabunge,mawaziri nk Sasa ni hayo nimekupatia hiyo dawa adhwim sana kwako hii dawa nimeiongezea vitu flani ili iwe katika ubora zaidi watu niwafanyiapo shughuli hiiyo wafanikishe kwa wepesi hii dawa ni mvumo mkubwa ukiipata katika biashara au jii au katika shughuli yako uifanyayo kama mapenzi kila siku utabadili namba ,,lakin ni uamuzi wako ukawa na dawa HII na ukawa mtulivu ukawa unafanya yako talatibu ukitaka faxta nayo itaenda faxta na mwisho wa picha itakuendesha ndio utaona uyatakayo yanasonga mbele Hii dawa mawili kati ya haya kuchanja /unafunga mahali flan kwenye mkono hakikisha siku zote unayo isikupotee/kutoka lakini kwa upande wangu kuchanjia ndio kila kitu umemaliza mkataba kuliko kufunga lakini kwa asiyetaka kuchanjia bax atafunga kazi kwako !;

Monday, April 12, 2021

DAWA YA KISUKARI

 DR. KAMFIRIMBISI

Amekuja na dawa ya kutibu  sukari kwa muda mfupi ni mchanganyiko wa dawa mnyaa na maganda ya mua,magadi, chumvi n.k

Fanya mawasiliano Dr. Kamfirimbisi

ZINDIKO LA NYUMBA

 ZINDIKO LA NYUMBA NA MWILI:

DR. KAMFIRIMBISI amekuja kuwatangazia dawa ya kinga ya nyumba kiboko ya wachawi yenye kuleta majibu papopapo utapata majibu mtu akikujaribu kwa kukutupia uchawi tu utamtoa damu na mfano wa radi:

Dawa hiyo inaitwa Rushita inapatika kwa bei nafuu, kinga ya mwili ni  Tshs 50,000/= na kukinga nyumba ni Tshs 100,000/= kwa wale wakazi wa Dar es salaam wanaweza kutafuta kwa namba ya simu 0655531702 au 0623450753 au 0766105099 nitakufikia hapo hapo ila andaa kinu kikubwa.  Na kwa wale walionje ya mkoa wa Dar es salaam pia wanaweza kunitafuta nakufanya makubaliano ya kufika hapo.

Friday, August 21, 2020

MARADHI YA DONDA LILILOKO NJE YA MWILI

 Tiba  hii ni mujarrab sana kwa donda:

Chukua mafuta ya zaituni pakaa kwenye donda baada ya kuliosha vizuri kabisa, kisha baada ya hapo chukua vidonge vya Parasetamol(hizi hizi parasetamol zinazouzwa katika duka la dawa za kisasa yaani dawa za kizungu) halafu chukua vidonge viitwavyo septrin, fanya vidonge vitano vitano kila upande (yaani parasetamol vidonge vitano na septrin vidonge vitano) kisha vidonge hivi visage vizuri kabisa kipake mafuta ya zaituni kidogo, baada ya hapo nyunyiza ule unga wa vidonge hivyo hadi vilifunike donda hilo.

Ndugu yangu dawa hii ni ajabu sana namna inavyoponesha vidonda vilivyo nje ya mwili. Hivyo basi dawa hii mimi huiita kuwa ni rafiki wa watoto wakitahiriwa na ikawa vidonda hivyo vinasumbua basi komesha yake ni hiyo tu inshaallah ni mujarrab sana.

Thursday, August 6, 2020

JUICE TUMIA KAMA DAWA

 JINSI YA KUTENGENEZA JUICE (DAWA)

Maandalizi:

1.   Ukwaju kg2

2.   Hiliki robo ¼

3.   Vitunguu swaumu kg 1

4.   Tangawizi kg 3

5.   Karafuu robo ¼

6.   Abdalasin robo ¼

7.   Ndimu 30


Juice dawa ni dawa yenye uwezo wa kutibu maradhi mengi kama vile :-

Ø Ngiri

Ø Chango kwa kina mama

Ø U.T.I

Ø Taifodi

Ø Presha ya kupanda na kushuka

Ø Kilungulia

Ø Kipanda uso

Ø Kuondoa uchovu wa mwili

Ø Miwasho yua aina zote

Ø Miguu kuwaka moto

Ø Kutoa ges tumboni

Ø Kuzibua mirija ya uzazi

Ø Nguvu za kiume

Ø Maralia sugu

Ø Kupanga mpangilio mzuri wa hedhi

Ø Kutoa vitu vibaya  kama vile , umeota unakula nyama

Ø Gono / Kaswende

Friday, July 24, 2020

MBAAZI

MBAAZI- Huu ni mti maarufu sana kwa watu wengi na hutumika kama mboga ama chakula hasa kwa watu wa pwani
Pia kwa upande wa waganga,wanga,wachawi na baadhi ya majini na mashetani pia wanautumia mti huu kwenye mambo yao
Mbaazi ndiyo mti pekee wenye mambo mengi kwenye utibabu wa asili na hata uchawi kuanzia Majani,miti,mizizi,na hata udongo ulio chini ya mti wa mbaazi una kazi kubwa sana
UDONGO WA MBAAZI
1.udongo wa mbaazi ndiyo unaotumika kuwapaka misukule pindi wanapopelekwa kwenye mashamba ya wchawi au kazi mbalimbali ili wasiweze kuonekana na watu wengine
2.Udongo wa mbaazi pia hutumika kwa kuumwaga njia panda zinazoingilia kijiini ili kuwapoteza watu wabaya wasiweze kuingia katika vijiji vyao,udongo huo huchanganywa na vizimba vingine kisha huifadhiwa kwenye chungu ama tunguri kabla ya kwenda kuumwaga njia panda
3.udongo huu hutumika kutengeneza chuma ulete,mtu kupendwa na viumbe majini(hii hutumia sana waganga wanaotumia majini au vitabu)kuwatupia watu maradhi ya kichawi,udongo huu pia hutumika kumficha mtu akaweza kuingia sehemu bila kuonekana na macho ya kawaida
MIZIZI YA MBAAZI
Mizizi ya mbaazi inatibu magonjwa zaidi ya 70,yapo baadhi ya magonjwa hutibiwa kwa miziz hiyo pekee na magonjwa mengine mzizi huo huwa kiungo kwenye mchanganyiko wa miti tofauti,mfano mizizi ya mbaazi ni tiba nzuri kwa mtoto mwenye kigugumizi
pia mizizi ya mbaazi hutibu mtoto aliyechelewa sana kuongea
amka alfajiri kabla ya kuchomoza kwa jua,uwe msafi wa mwili na uvae kaniki au kitambaa cheusi
ukifika kwenye mti wa mbaazi ita jina lake mfano ewe mbaazi na uuombe maajabu yake kisha chimba mizizi ukimaliza chana kaniki funga miziz hiyo kisha fukia ulipochimba na unatakiwa uweke sadaka yako hapo chini ya mbaazi kama vile punje za nafaka mtama,mpunga n.k, viwe kiganja kimoja tu,pia unaweza kuweka pesa lkn iwe sarafu
chemsha dawa kwenye chungu cha mfinyanzi na sio sufuria,anywe mtoto kikombe cha kahawa kwa siku9 kigugumizi na kuchelewa kuongea kutaondoka.
MTI WA MBAAZI
mti wa mbaazi kuanzia kwenye shina hadi yanapoanza kuota majani yake ni dawa kali sna kwa anayetaka kupandishwa cheo,mvuto kazini,na kupendwa
kata mti wa mbaazi wenye maua na uchune magamba yake kisha uyakaushe na uyatwange mpaka ziwe unga kama tunavyosaga dawa zingine za miti,wakati wa kukata uwe na kijogoo kidogo chekundu mchinje bila ya kusema Bismillah wala kibla(sababu ni chakula cha majini)
kwenye kuutwanga au kusagwa ufanywe na msichana bikra,au bibi aliyemaliza uzazi,kisha mtu anayetaka kupanda cheo,mvuto kazini au heshima anavaa kitambaa cha rangi ya nyota yake na aoshewe dawa huku anafanyiwa dua njema
huongeza heshima,kuogopwa, na kupewa siri za wabaya wako kwani moja ya matokeo ya dawa ni kuwa wabaya wako mmoja atawasaliti wenzie na kukuletea taarifa ya kila kinachoiri kwenye mipango yao
pia mashetani na wachawi huwafunga wanyama wao kwenye miti ya mbaazi,mfano fisi,mbawala,kenge,nyoka nk
pia wachawi huifadhi mikoba yao kwenye miti ya mbaazi kwa kuwa ina nguvu kubwa za kiroho kuliko mbuyu
pia mbaazi hutumika kama fimbo ambazo hutembea nazo wachawi na wanga,mti wa mbaazi huchomekwa ndani ya ngozi ya mkia wa fisi maji au nyumbu.
pia fimbo ya mbaazi hutumika kuwaamsha misukule,kuwatoa wafu kwenye makaburi yao kwa nguvu za giza na ndiyo maana wachawi wengi wanapokamatwa huwa hawapo tayari kuipoteza fimbo hiyo na wenye kujua huwa wanaing'ang'ania fimbo hiyo na hapo mchawi atakuwa tayari kukupa kitu chochote hata mali zake zote.
MAJANI YA MBAAZI
majani ya mbaazi makavu hutumika kumpandisha ruhani asiyeweza kusema kwa sasbubu yeyote ile,changanya majani yaliyodondoka yenyewe na udi wowote kisha weka kwenye kaniki mfushe atasema bila shurutwi.
ni huduma ya kwanza kwa mtu aliyepigwa na radi na kutoka damu,wazee hutafuna majani ya mbaazi na kumpaka
mwenye kuweweseka usiku huchukuliwa majani haya na kiota cha ndege aliyekwishaangua vifaranga huchanganywa pamoja yanachemshwa na anaoga mhusika akiwa uchi kabisa kwa siku 9 atakaa sawa.
Hutumika kama kinga ya chuma ulete
pia ukitaka kuwaona wachawi kaa chini ya mbaazi usiku wa manane uwe uchi anza kunuia mbaazi ukuonyeshe watembea usiku ghafla utawaona.
MBAAZI ni mti wenye kazi nyingi zisizoisha hata kwenye vitabu vya tiba na uchawi ni mti wenye kurasa nyingi na hadithi ndefu

FAIDA YA MTI WA MKWAJU

TIBA KWA KUTUMIA MTI WA UKWAJU
Ukwaju ni mti mzuri sana na unamajina mengi kwa kutokana na pahari sehemu ulipo mfano:-
Ukwaju kwa rugha ya kilatini unaitwa TAMARINDUS,
pia ukija kwa wahindu wanamajina yao IMLI,
na pia kwa kingereza wanauwita TAMARIND TREE,
hizi ni baadhi ya nchi na wanavyo uwita na ukija tz wanauwita UKWAJU,UKWASU,MATE MATAMU,NCHWACHU,SHINK MEREMERE haya ni majina baadhi ya rugha na jinsi wanavyo uwita mti huu wa ukwaju mti wa ukwaju unatumika kwenye kazi nyingi mfano kutoa majini fusho LA majini pia unaingia kwenye zindiko LA kufanya mchawi akiingia apigwe bakora mpaka akome na kazi nyingi sana za kupiga mangu, mti huu ni wa bakora yaan mkwaju ni MUAZIBU WANGA ,ila Leo tuone kwenye tiba, mkwaju unatumika kwenye KUTIBU maradhi mbali mbali MFANO majani ya ukwaju yanatibu fangasi,kusafisha kibofu cha mkojo,KUTIBU MAUMIVU ya viungo mwilini.
MAGOME NA MIZIZ
Tatizo la kukosa choo,,matatizo katika TUMBO,tatizo LA gesi,figo,pamoja na U.T.I basi kwa hakika unatibu maradhi haya tukia kuchemsha kwa kunywa au magome kusaga kunywa kwenye uji kutwa X2,
TUNDA LA UKWAJU
Kuomdoa kemikali sumu lehamu mwilini,KUTIBU tatzo LA mmeng'enyo na ni antiseptic inayouwa bacteria na kuzuia wadudu wasikae katika ngozi .
TIBA YA UKWAJU HOMA ZA MARA KWA MARA.
kunywa juice ya ukwaju ili kukata na KUTIBU homa za Mara kwa Mara na hakika utapona kabsa na pia hakikisha juice hiyo uichanganye na manjano kidogo.
KUUNGA SEHEMU ILIYO FUNJIKA.(FRACTURE)
juice yabukwaju ukichanganya na mafuta ya ufuta weka kijiko ipate uvugu vugu kisha weka juu ya SEHEMU ILIYO vunjika.
KUTIBU NGIRI.
kunywa juice ya majani ya ukwaju kutwa X3 utapona kabsaa inshaallah.
MAUMIVU YA SIKIO
weka tone moja LA juice ya ukwaju.
Hakika utapona ajabu
KUWASHWA NA MWILI NA KUTOKWA NA VIPERE .
kama unatatzo LA kujikuna kama ukurutu or nk nasi jua hilo ni tatzo na usha tumia dawa za hospitals lakin wapi na ushatumia dawa za kisuna lakin wapi basi tumia dawa hii mujarabu ponda ponda majan


U.T.I

U.T.I : INA TIBIKA SASA KWAKUTUMIA DAWA ZA ASILI
UTi ni ugonjwa ambao unasumbua watu wengi; watoto, vijana na watu wazima.
UTI (Urinary Tract Infection); ni maambukizi kwenye njia ya mkojo. ambayo chanzo chake kikubwa kipo kwenye sehemu ya haja kubwa(anus)au kwenye utumbo mpana(large intestine)
kwanini imekua u.t.i?kabla ya kua u.t.i kulikua na vimelea ambavyo vinaishi katika eneo la haja kubwa ambavyo ni ulinzi wa eneo hilo,ila ukivihamisha kutoka eneo hilo nakupeleka eneo lingine haviwi ni ulinzi bali ni mashambulizi,
kwa kawaida mwanamke ameumbwa na centimetre 1-4 kutoka nje kwenda ndani kwenye njia yake ya haja ndogo,
ila tu milango yako ipo wazi sana na ni rahisi kupata maambukizi,

sasa wanawake wengi baada ya kujisaidia haja kubwa hujisafisha kutoka nyuma kwenda mbele na hapo ndipo wanapohamisha vile vimelea na vikifika njia ya mkojo vinakua ni mashambulizi na ndipo vinaitwa (urinary track infection)U.T.I.
na ukishapata hivo vibacteria kwanza vinaenda kudhoofisha kinga za uke(normal flores)ambao hao normal flores wenyewe hua wanaishi kwenye ute wa kike(lactic acid) hivyo inakua ni rahisi kupata mashambulizi ya magonjwa mbalimbali.
Ugonjwa huu hushambulia
(1) Figo (kidneys);
(2) Ureters; ambayo ni mirija inayounganisha figo na kibofu cha mkojo,
kibofu cha mkojo (bladder) na urethra; sehemu inayotoa mkojo toka kwenye kibofu cha mkojo hadi nje ya mwili.
AINA ZA U.T.I
A) lower U.T.I
Lower U.T.I ni hatua ya ugonjwa kushambulia maeneo ya urethra na
kibofu cha mkojo (bladder). Katika hatua hizi, mgonjwa atasikia dalili
zifuatazo:-
1. Maumivu wakati wa kukojoa
2. Kujisikia kukojoa mara kwa mara lakini kutoa mkojo 
     kidogo tu
3. Damu katika mkojo
4. Mkojo wenye rangi ya chai
5. Mkojo wenye harufu kali
6. Maumivu ya kiuno kwa wanawake
7. Maumivu ya sehemu za nyuma kwa wanaume
B. Upper U.T.I
Upper U.T.I ni maambukizi ya ndani ya figo. Hii ni hatua mbaya sana
endapo bacteria wataanza kuingia kwenye mkondo wa damu kutoka
kwenye figo – SEPSIS. Sepsis huweza kusababisha msukumo wa
damu kuwa mdogo sana (Low Blood Pressure), mshituko au kifo.
Dalili za upper UTI ni:
1. Maumivu ya maeneo ya juu ya mgongo
2. Homa
3. Kusikia baridi
4. Kusikia kichefuchefu
5. Kutapika
Ukiipuuza U.T.I Unaweza kupata athali kubwa sana kama zifuatazo
1.Figo kushindwa kufanya kazi (kidney failure)hii ni hatari 
    sana ,hutokana na bacteria kushambulia figo
2.Kupatwa magonjwa ya kibofu ,kama kibofu kuziba 
   ,kushindwa kukojoa ,hii hupelekea MTU kukojoa kwa mirija
3.Maumivu ya mgongo, kiuno na NYONGA
4.Kupoteza hamu ya tendo la ndoa.nk.
5.Kuharibu homon(hormon inbalance)
6.Mimba kuharibika
7.Kishindwa kubeba mimba.
PIA TUNATIBU
U.t.I sugu inayojirudiarudia
Fangasi(miwasho mwilini)
Nguvu za kiume Kwa dozi 1 tu.
Uzazi
Utokwaji Wa Uchafu kama maziwa mtindi ukeni tena 
kwa dozi 1 tu.
Tezi dume
Sukari
Presha
Vidonda vya tumbo
Pumu
Vimbe mbalimbali
Maumivu makali wakati Wa hedhi/kupitiliza na 
kutokuona kabisa
Bawasili

Wasiliana nami Dr. Kamfirimbisi kwa namba za simu
+255655531702 ,+255623450753, 255766105099


Thursday, July 23, 2020

SIKU MBAYA NA NZURI KATIKA KILA NYOTA

Tuangalie kujua siku mbaya na nzuri kwa kila nyota zote 12 ifahamike kuwa kila nyota inasiku yake ya kutawala na siku mbaya. Nikimaanisha siku nzuri ni yale masaa ya kufanikiwa jambo lolote kupata bahati au mafanikio ya jambo lolote au saa nzuri ya kuomba dua kwa Allah.Na siku mbaya ni masaa nyota usika inaingiwa na nuksi au mabala ya dunia ima kwa kukusudiwa na watu wasio penda maendeleo yako au kutoka kwa majini au kupata mitihani tu ya Mwenyezi Mungu kukupa kipimo au ni saa ya kufunga mdomo,kudhibiti ndoa n.k

NYOTA
      SIKU NZURI
SIKU MBAYA
1
PUNDA (AMY)
JUMATANO
JUMAPILI
 IJUMAA
ALHAMISI
JUMAMOSI
JUMATATU
2
NG’OMBE(BNZ)
IJUMAA
JUMATATU
JUMATANO
JUMAMOSI
JUMAPILI
JUMANNE
3
MAPACHA(CO)
JUMATANO
JUMAPILI
JUMAMOSI
ALHAMISI
4
KAA(DP)
JUMATATU
JUMANNE
JUMAMOSI
JUMAPILI
5
SIMBA(EQ)
JUMAPILI
JUMATATU
ALHAMISI
JUMAMOSI
6
MASHUKE(FR)
JUMATANO
JUMAPILI
7
MIZANI(GS)
JUMAPILI
JUMANNE
IJUMAA
JUMATATU
JUMATANO
ALHAMISI
8
NG’E(HT)
JUMANNE
ALHAMISI
JUMATATU
JUMAPILI
JUMATANO
IJUMAA
JUMAMOSI
9
MSHALE(IU)
ALHAMISI
JUMAMOSI
JUMAPILI
JUMANNE
JUMATANO
IJUMAA
JUMATATU
10
MBUZI(JV)
JUMAMOSI
JUMATATU
JUMANNE
JUMATANO
ALHAMISI
JUMAPILI
11
NDOO(KW)
JUMAMOSI
JUMAPILI
JUMANNE
JUMATATU
JUMATANO
ALHAMISI
IJUMAA
12
SAMAKI(LX)
ALHAMISI
JUMAMOSI
JUMAPILI
JUMANNE
JUMATANO
IJUMAA
JUMATATU

JINSI YA KUMFUNGA MUME/MKE ASICHEPUKE

Ndoa nyingi zimekuwa zenye hali ya mashaka kutokana na kupungua wa uaminifu baina ya wana ndoa husika, kiasi kwamba kila mmoja amekuwa mwenye mashaka na mwenzake na hatimaye ndoa kuvunjika
Leo nitazungumza nanyi  juu ya namna rahisi kabisa ya kuhakikisha kuwa, mumeo au mkeo atalazimika(hata kama sio hiari yake) kuwa mwaminifu kwenye ndoa yenu kwa kubaki nawe tu hadi utakapoamua iwe vinginevyo.
Njia nitakayoieleza hapa ni ya kufunga kile kitendea kazi(kwa mchepuko) cha mume  au mke anapokutana na mchepuko chumbani ili wafanye yale mambo yetu ambapo hivyo vitendea kazi huonekana vimepotea au havina uwezo.
Lakini sharti kubwa la njii hii ya kudhibiti michepuko ni mfanyaji(mnuiaji) lazima afanye kwa mkewe au mumewe wa ndoa kabisa, vinginevyo inaweza kumuathiri mwenyewe endapo ataifanya kwa hawara(Boyfriend/ girlfriend).
Ikiwa unampenda sana mwenzi wako, basi ni vema ukamshawishi muoane kwanza kisha ndio ufanye hii njia ya kumdhibiti ili awe wako wa peke yako katika maisha yenu ya ndoa.
Mahitaji yake
Ili kuiweka kwenye mikono salama ndoa yako kwa njia hii, unatakiwa kuwa na vifaa kadhaa kwa ajili ya utekelezaji  wa kinga hiyo ya uhakika kwa michepuko ya mwenzi wako.
  • Udi nadi
  • Ubani mashtaka
  • Uume wa mbwa mweusi asiye na jeraha
  • Kiberiti kipya
  • Karatasi nyeupe
  • Zafarani nyekundu
  • Mnamata (mmea kama miba miba, ukiupitia unakamata kwenye nguo)
 Namna ya kufanya
 Twanga vizuri udi nadi na ubani mashtaka hadi view vya unga au poda, kasha vichanganye vyote na mnamata na hakikisha hadi vinakuwa kama kitu kimoja.
Chukua karatasi nyeupe na uandike jina la mkeo au mumeo na jina la mama yake mzazi kwa kutumia zafarani nyekundu, kisha weka ule mchanganyiko wako wa udi, ubani na mnamata hapo kwenye karatasi ukichanganya na hiyo ‘dushelele’ ya mbwa.
Choma karatasi jiyo kwa kuiwasha na kiberiti kipya, wakati karatasi inaungua tulia huku  unaitazama na kuvuta taswira kama unamuona mwenzi wako na huku unatia nia yatokee yanayokusudiwa kama atachepuka na  mtu mwingine.
Baada ya hapo zoa majivu na uyafunge kwenye kitambaa cheusi kisha ukayatupe  kwenye maji yanayotembea(ya mfereji au mto).
Ukitaka kuachana naye, ni vema kumuacha huru kw akufanya kama wakti wa kumfunga, kasoro hutatumia tena ‘dushelele’  ya mbwa kisha jivu lake utajigusisha kwenye nyeti zako kabla ya kukutana naye kimwili na atakuwa huru.
Kwa masharti ya njia hii, ni lazima kumuacha huru, ikiwa huhitaji kuwa naye tena, kwani inaweza kukuathiri mwenyewe usipate mwenzi mpya.

Contact Form

Name

Email *

Message *