Tunaweza kuufahamu zaidi
ugonjwa wa ngiri kama hali inayotokea katika mwili ambapo sehemu fulani ya
nyama ya viungo mbalimbali vya mwili hujipenyeza kupitia sehemu iliyo dhaifu ya
mwili na kutokeza upande wa pili. Sehemu inayoathiriwa mara nyingi ni maeneo ya
tumbo, kokwa, korodani na kadhalika ambapo baadhi ya viungo vya mwili vilivyomo
tumboni hujipenyeza kupitia vitundu vinavopitisha mishipa ya fahamu
inayohudumia kokwa (Spesmatic Cord), hivyo baada ya kujipenyeza huteremka hadi
ndani ya korodani hali ambayo hukamilisha kuwepo kwa ugonjwa wa mshipa wa
ngiri.
Sehemu ambazo Ngiri inaweza kutokea ni pamoja na maeneo ya:-
a)Tumboni
b)Eneo la kinena
c)Eneo la paja kwa juu
d)Eneo ambalo mtu amewahi
kufanyiwa upasuaji siku za nyuma
e)Kifuani
Ugonjwa huu wa ngiri
unawapata watu wa jinsia zote na wa umri wowote
AINA ZA
NGIRI
Ugonjwa wa mshipa wa ngiri
unaweza kujitokeza maeneo mbalimbali ya mwili na aina ya ngiri hutegemea na
sehemu ngiri ilipojitokeza.
NGIRI MAJI
Hii ni aina ya ngiri
ijulikanayo pia kwa kitaalamu kama (hydrocele)
NGIRI KAVU
(HERNIA)
Hujulikana pia kama
‘fermoral hernia’ kwa wanawake na huitwa ‘scrotal hernia’ kwa wanaume.
Ngiri ya kwenye kifua
Hujulikana pia kitaalamu kama ‘hiatus hernia’
NGIRI YA
TUMBO Hujulikana pia kama
‘Abdominal Hernia’
NGIRI YA
KWENYE KITOVU
Hujulikana pia kama
‘Umbilical Hernia”.
NGIRI YA SEHEMU YA HAJA KUBWA
Hujulikana pia kama ‘Anal
Hernia’
DALILI ZAKE
KWA MWANAUME:
DALILI ZA
UGONJWA WA NGIRI
Dalili za
ugonjwa huu wa ngiri ziko nyingi sana kwa hiyo hapa nitataja dalili chache tu.
Nazo ndizo hizi
zifuatazo:-
1.Kubana tumbo hasa chini ya kitovu wakati wa baridi
au unapokula vitu vitamu.
2.Kupiga mingurumo
tumboni.
3. Kujaa gesi tumboni.
4. Kuhisi haja kubwa na
ukifika chooni unatoa upepo tu.
5. Kupata haja ngumu kama
ya mbuzi.
6. Kukaa siku kadhaa bila
kwenda haja kubwa.
7. Wakati fulani unakwenda
haja sana, kila mara.
8. Unaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu
inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.
9. Nuru ya macho hupotea
taratibu.
10. Hutokea wakati mwingine
kufanya jimai mwanzo
kabisa au
katikati ya tendo gari linazimika.
11. Huvutwa makende au
upande mmoja maumivu.
12. Hupiga mishale sehemu
za haja kubwa na
pembeni karibu na tupu.
13. Maumivu makali ya
mgongo au kiuno
14. Uume kusinyaa na
kunywea kama wa mtoto
Hizo ni dalili chache
endapo ukiwa na dalili moja wapo kati ya hiyo basi ww juwa kuwa una ngiri
wasiliana na Dr. kamfirimbisi kupata tiba ya kuondoa tatizo ilo kwa muda mfupi
au tembelea blog yake drkamfirimbisi82.blogspot.com