Showing posts with label KUSAFISHA NYOTA. Show all posts
Showing posts with label KUSAFISHA NYOTA. Show all posts

Monday, June 22, 2020

ELIMU YA KIGANJA CHA MKONO


Ni hakika mkono ni sehemu ya jumla ya kuonesha picha ya maisha ya mtu mwenyewe.
Tabia zinazotambuliwa na ilmu hii inategemea tabia ya mtu na mtu mwengine.
Elimu ya kiganja ni njia ya kuelezea mambo yaliopita kwa mtu na yajayo kwa msingi wa maisha ya sasa.
Inahitajika unaposoma kiganja uwe makini zaidi kuangalia michoro ambayo inayoonekana ndani ya kiganja.
Yapo mambo ambayo huepukwa kuyaelezea.
Michoro inaelezea tabia.
Umaarufu.
Safari.
Ubunifu wa kazi.
Kipaji cha muziki.
N.k
Kupitia michoro hiyo utajua mambo muhimu yanayomhusu mhusika wa kiganja hicho.
Usomaji wa kiganja unavutia zaidi.
Umuhimu wa MKONO.
Mkono ni sehemu muhimu ya viungo vya mwanadam .
Hapo mkononi kuna mishipa mingi zaidi kutokea katika UBONGO kuelekea mkononi.
Kuliko eneo lolote la mwili wa binaadam.
Kwa ajili hiyo inaonesha kila kitendo cha akili kitaathiri zaidi eneo la mkono.
MKONO NA UMUHIMU WAKE.
Mkono ni kiungo muhimu ambacho kimejumuisha yafuatayo:-
Vidole.
Kucha.
Kitanga.
Dole gumba.
Eneo la mkono.

KIGANJA KIMEGAWIKA SEHEMU MBILI.
Vidoleni.
Kati kati ya kiganja.
Chini ya kiganja ...karibu ya kiunganikio cha mkono.
Kila eneo hili lina ashiria jambo muhimu katika maisha yako.
VIDOLE.
Jumla ya vidole ni vitano (5) ukijumuisha na kidole gumba.
Na kila kidole kimepewa jina la sayari.
Na kila kidole kinaanisha maana husika ya sayari hiyo.
Japo wapo baadhi ya watu wanavyo vidole sita (6) au vidole saba (7).
Ulaini wa kiganja au ugumu wa kiganja ina ashiria kitu maalumu katika maisha yako.
Kila kidole kina vifundo vitatu ispokua kidole gumba pekee.
Ndio kina vifundo viwili.
Kila kifundo kutokea juu ya ncha ya kidole kinaashiria jambo muhimu katika maisha yako au tabiya zako.
1.Kifundo cha juu cha kucha....kinaashiria utendaji wa fahamu zako.
2.Kifundo cha kati ...kinaashiria vitendo vyako.
3.Kifundo cha chini kabisa....kinaashiria utendaji wa faida uzitakazo.
Au kile ulichokirithi.
Tafauti iliopo ni katika kidole gumba.
Kifundo cha kucha ...kinaashiria utashi wako...au nguvu ulio nazo.
Na kifundo cha mwisho ...kinaashiria fahamu zako au unavyo tafuta hujja (ufahamu).
Haya mambo si rahisi kwa kila mtu kuyaelewa kwa namna inavyozoeleka kwa watu wengi.
Kwa kua kila jambo linazo kanuni zake.
Na pia inahitaji utafiti na umakini wa hali ya juu kuyafahamu mambo haya.
Vidole vyetu na vifundo vyetu tumeumbwa tafauti tafauti...na kiasi inavyokua tafauti ndivyo na maana zake zinavyobadilika.
Hutaliwi kukariri kitu kimoja ...lazima utakosea na kuharibu utaalamu huu.
MKONO AU KIGANJA.
Mkono ni kiungo cha mwili kilichokuepo chini ya vidole vya mkononi na kipo juu ya mkono.
Kunakuepo mistari ndani yake na kunakuepo milima.
Hii misamiati lazima uitambue inaashiria nini inapotajwa?
Milima iliyo maalumu ndani ya kiganja ipo idadi zake ni (8).
IDADI YA MISTARI KATIKA MKONO.
Idadi za mistari mikuu iliopo katika mkono ni saba (7).
Inapatikana mistari midogo ya ziada katika mkono idadi ni kumi (10).
Mistari mikuu inayoonekana zaidi ipo mitatu.
1.Mstari wa Akili.
2.Mstari wa moyo.
3.Mstari wa maisha.
Na kwa mbali sana hupatikana kuonekana mstari wa bahati.
Huu mstari ndio mara nyingi unaoungana na mstari wa akili au mstari wa kichwa kuonesha herufi ya (M). Na hapo imekua baadhi ya watu kujibashiria utajiri au bahati nyingi katika maisha yao.
Bila kujua zinapatikana baadhi ya alama ambazo inakua ni kipingamizi katika hizo bahati...kama yutavyoelekeza na kuzitaja alama hizo.
AINA ZA MIKONO.
Mikono ipo katika maumbile tafauti tafauti.
Na kila umbile la mkono wenyewe inaashiria jambo muhimu kwa mhusika.
Jumla ipo mikono aina saba (7).
VIDOLE .
Vidole ni katika viungo muhimu pia katika sehemu ya mkono.
Kama tulivyoelezea vidole jumla yake ni vitano au baadhi ya watu wanavyo vidole sita au vidole saba.
Na kunakuepo vile vifundo.
Na kila kidole kina maelezo yake ya kukuelezea namna ulivyo wewe.
Na tukumbuke wapo watu wanavyo vidole virefu kuliko watu wengine.
Na wengine wanavyo vidole vifupi kuliko watu wengine.
Na kila mmoja katika wao inaashiria jambo muhimu tafauti na mwenzie.
Aina za vidole ni:
Vidole vifupi.
Vidole virefu.
Vidole laini.
Vidole vyenye vifundo vifundo.
KIDOLE GUMBA.
Wapo watu vidole gumba vyao ni vigumu zaidi.
Wengine vidole vyao vya mzunguuko.
Wengine vya kina kona.
Kwa ujumla vidole gumba vipo tafauti tafauti pia.
KUCHA KATIKA VIDOLE VYA MKONO.
Kucha zipo maumbo tafauti tafauti kwa kila mtu.
Wapo wenye rangi za kucha tafauti pia.
Na kila.kitu hapo kina ashiria jambo muhimu kwa mhusika.
Mkono unao rangi tafauti kwa baadhi ya watu.
Na hili pia lina ashiria jambo muhimu kwa mhusika.
Mpaka hapa inatosha kuwafahamisha kua elimu ya kiganja inasaidia kumjua myu tabiya alio nazo na kuyajua maisha yake vizuri.
Na inasaidia kuwajua watu tabiya zao za kila siku....ambazo wanazificha.
Na kumjua mtu fahamu zake .
Na mengi zaidi ya hayo ambayo yanakuwezesha kujitambua ulivyo kupitia viungo vyako.
JE UNA HERUFI M KATIKA KIGANJA CHAKO? INGIA HAPA UTAZAME HII NDIO MAANA YAKE


Watu wengi wanasema, mistari katika viganja vya kila binadamu vimebeba mambo mengi na maana nyingi kuhusu tabia yako na hatima yako kwa ujumla.

Pia inasemekana watu wenye herufi 'M' katika viganja vyao,ni watu wa aina muhimu sana.Inasemekana watu hawa wana sifa za ajabu.Wana ushirikiano mzuri na wafanyakazi katika aina yeyote ile ya biashara.

Kama una mpenzi mwenye alama 'M' katika kiganja chake,basi yakupasa kujua yupo makini katika uhusiano wenu.Hakuna utani,hakuna uongo na hakuna udanganyifu.

Watu wenye herufi 'M' katika viganja vyao, wana uwezo mkubwa wa kufanya mabadiliko katika maisha yao na daima utumia vizuri fursa wanazozipata katika maisha yao.

Imekuwa ikijulikana kwa watu wa zamani, kwamba manabii wote walikuwa na alama hii katika mikono yao.

Angalia mkoni wako na endapo ukijikuta una alama ya 'M' basi tambua kwamba wewe ni mtu maalamu.
TAMBUA NAMNA MSTARI KWENYE KIGANJA CHAKO UNAVYOHUSIKA KATIKA MAHUSIANO YAKO NA NDOA YAKO
Mara nyingi watu huenda kwa wanaosoma viganja ili waweze kuelezewa kuhusu wakati wao ujao yaani utabiri na pia bahati zao.Utaalamu huu wa usomaji viganja mara nyingi sana umetumika na huwa kweli kwa asilimia kubwa hasa linapokuja suala la mapenzi na maisha.
Sitakuchosha saaana ila cha kufanya unganisha viganja vyako hapo ulipo.Ile sehemu unakoshikia chakula iwe juu.Mara baada ya kuviunganisha vema hakikisha mistari ya vidole inaendana vema.Baada ya hapo itizame kwa makini mistari mikubwa inayofuatia ilioko chini kabisa baada ya mstari wa mwisho wa kidole kidogo.
Tazama hapa chini kujua matokeo yake:

1)MISTARI INA UREFU SAWA.
Hii inaanisha kuwa mchumba wako atakubaliwa na kupendwa na wengi.Wengi watamfurahia na kumwona mke mzuri na mwema.Pia mtu huyu huwa mkuu,mwenye kujiamini ana asiependa shitukizo.

2) MSTARI WA MKONO WA KULIA UKIWA JUU
Hii inaonesha kuwa inakupasa uwe makini sana na uamuzi wowote ule utako ufanya katika maisha yako.Usikurupuke inapaswa uwe mtulivu sana.
Pia mtu wa aina hii hupendelewa zaidi na wakubwa,pia ana uwezekano wa kuoa au kuolewa na mtu alemzidi umri,mwenye uwezo wa kutambua watu wanaomzunguka,hali iliyopo na asiejali watu wanafikiri nini juu yake.






3) MSTARI WA MKONO WA KUSHOTO UKIWA JUU ZAIDI
Hii inamaanisha kuwa wewe ni mtu jasiri na anaethubutu kukabiliana na changamoto za kimapenzi.Pia hupendelea zaidi vitu visivyo na uhusiano na mahusiano yako.Huyu pia huweza kuoa au kuolewa na mwanafunzi au mgeni wa ng'ambo.Mara nyingi hawa ni watanashati na warembo.



Monday, June 8, 2020

NUKSI

TATIZO LA NUKSI
Nini nuksi? Nuksi waweza kuita mkosi. Nuksi AMA mkosi ni aina ya tatizo ambalo aliye na tatizo hili huwa ni mtu mwenye hali ngumu sana kwa sababu kila analo Fanya huwa hafanikiwi Mtu mwenye nuksi huwa ni mtu mwenye hali zifuatazo
1 Kila analo fanya huharibika
2 Kuchukiwa na watu bila sababu
3 Kutengwa na watu
4 Watu kukupuuza na kuto kukujali
5 Ugumu wa maisha kwa kukosa msaada
AINA ZA NUKSI
MILANGO YA NUKSI
1 Kuna nuksi unaipata kwa njia ya uzinzi
2 Kuna nuksi unaipata kwa kuwa na tabia ya kutooga janaba,
hasa wale ambao huvaa mawigi au usukaji rasta
3 Nuksi ya majini
4 Nuksi ya uchawi
5 Nuksi ya njiani
6 Nuksi ya kukosa radhi ya wazazi
NUKSI  INAYO LETWA NA JINI
Yaweza kutokana na:-
1 Jini ankis
2 Jini ashki (Ummu subian)
3 Pia mwanandoa kuwa na jini mahaba aina yeyote
Utajuaje kama una jini mahaba?
Au unawezaje kujua aina ya jini anaye kudhuru? T
Kuhusu nuksi ya mwanandoa kuwa na jini mahaba, ni pale ambapo mambo huharibika baada ya kuingia ndani ya ndoa na hali kabla ya ndoa mambo yalikuwa vizuri
Ila nuksi ya kukosa radhi ya wazazi basi la hii haina dawa
Lakini hizo zilizo bakia zina dawa Nuksi ya njiani hiyo hupatikana kwa kukojoa katika miti ya matunda yanayoliwa Ima katika kujisaidia kwenye madimbwi ya maji au mitaro ya maji machafu.
Nuksi hii husababishwa na jini ankis Ndipo mtu anaweza kuwa na elimu lakini kazi hapati, au msomi kufanya kazi bila cheo na cheo kwenda kwa mtu asiye na elimu.kuishi bila muelekeo. Tatizo la nuksi huhitaji kisomo cha miftaahu,yaani visomo vya ufunguo.

Endapo unatatizo hili basi wasiliana na Dr. Kamfirimbisi kwa kutumia Simu:+255655531702/+255623450753/+255766105099 au kwa link ya whatsapp hapa chini 


Bonyeza Link DR.KAMFIRIMBISI   

Tuesday, June 2, 2020

KUFUNGUA VIFUNGO

NAMNA YA KUJITAMBUA KAMA UMELOGWA AU LAA

Kurogwa uislamu haujaruhusu mtu yeyote kufanya uchawi ni haramu kabisa:-
Uchawi ni amali ya ukafiri uchawi hufanya kazi kwa ushirikiano na mashetani.

Uchawi ni nini?
Kuna maana nyingi za neno hili sihir (uchawi):
  • Kukigeuza kitu na kukitoa katika hakika yake.
  • Ni maafikiano baina ya mchawi na shetani ya kwamba atende baadhi ya mambo haramu au ya kishirikina ili shetani amsaidie yeye na kumtii analolitaka.
  • Ni kuidhihirisha batili katika sura ya haki: hizo ni baadhi ya tafsiri za uchawi. Jambo la kuzingatia ni kwamba uchawi upo na tena unaumiza.


MTU ALIE ROGWA NI YUPI:
Nivigumu sana kumuelezea mtu alie rogwa kwa sababu ya kuwa yeye huwa aeleweki kwa muda husika yaani huwezi kumfahamu kuwa kama huyu amerogwa kwa kumtazama kwa macho ya kawaida na ndio maana kuna usemi unasema kuwa ‘’ukimwi haupimwi kwa macho’’ kwaiyo hapa chini nimekuwekea dalili za kumjua mtu alie rogwa iwe kijinni au kibinadamu.

Dalili za mtu mwenye uchawi [alie rogwa].

Kuumwa sana na kichwa
Presha mara kwa mara hata dawa haikubali.
Kutoona bila ya sababu
Ndoto zakutisha na zisizoeleweka.
Hedhi isiyo na mpangilio.
Ujauzito na ukipima hauonekani.
Kuwa na mabaka mabaka mwilini.
Kuteleza kama samaki.
Kunuka mwili kama uwozo au yai viza.
Kuvuka magamba kama nyoka.
Uume kuingia ndani.
Uume kuto kusimama.
Uke kutoa harufu kama unagono vile au fangasi.

Hizi ni baadhi tu ya dalili za mtu mwenye uchawi(alie rogwa). Lakini basi na tuangalie vipi mtu atajitambua kuwa na shetani.

Kuumwa na kizunguzungu.
Tumbo kuuma sana hasa chini ya kitovu.
Kichwa kuuma kwa vipande.
Kushtuka na moyo kwenda mbio.
Mwili kushika moto.
Tumbo kuuma sana kipindi cha hedhi
Maumivu wakati watendo la ndoa.
Kulia bila sababu na kutingishika.
Mwili kuwa mzito na kuwa na hasira.
Kutembewa na vitu mwilini
Kutamani kuachwa na kuacha.
Kuwa na kauli mbaya
Maumivu chini ya uti wa mgongo.
Moyo kuuma kama ananyonyesha
Kuota unafanya jimai (mume=mke)
Kuota unazaa,umezaa au unanyonyesha.
Ukiota jimai tu mimba inatoka.
Jinamizi, usingizini, na usingizi mwingi
Kuota unapaa.
Kusimamiwa na mtu na ukigeuka hayupo.
Magomvi kila mara kwenye ndoa.
Kupoteza vitu kama pesa, mikufu, hata ukificha
Kuchanganyikiwa ndani ya swala.
Kutopenda kujipamba kwa ajili ya mume.
Kumchukia mume au mke.
Kuota unaingiliwa kinyume cha maumbile.
Maringo na kujivuna.
Huhisi unaingiliwa sio ndotoni.


Hizo ni baadhi ya dalili za mtu mwenye shetani endapo utajigundua kama una miongoni mwa magonjwa hayo basi chukua tahazari mapema ya tiba.

KUJIFUNGUA KAMA UMEFUNGWA KISHIRIKINA.

Kwanza kabisa una takiwa kufahamu kuwa kama unadalili za hapo juu basi jua wewe umerogwa kwaiyo nenda katika duka la tiba za asili au polini nenda uchukue chumvi ya mawe pamoja na kivumbasi pamoja na majani ya mti wa mbaazi pamoja na majani ya ushanga wa bibi mti huu una majina mengi sana na kama huufahamu vizuri basi unaweza kuwasiliana na Dr. Kamfirimbisi  kwa hakika utajipatia tiba nyingi sana zaidi ya hizi sasa basi ukisha pata mti hiyo chukua zafalani pamoja rose marashi changanya pamoja huo ndio uwe wino wa kuandikia hii talasimu yako hakikisha unafanya siku ya juma tano saa yoyote ile ukishamaliza kuandika loweka katika maji ya ujazo kuanzia lita3 kwenda juu tumia kuoga usiku,Watu wa kiwa wamepumzika na maji hayo ya kulowekea kombe lako hakikisha yawe maji ya kisima kisicho ona jua yaani maji teka usiku na talasimu yako chukua na uloweke humo hakika ukishaioga na kunywa  utakuwa umejifungua na kuna asilimia kubwa sana za kuuwa kabisa huo uchawi na fanya hivyo hivyo katika biashara ilio fungwa.
Endapo unatatizo hili basi wasiliana na Dr. Kamfirimbisi kwa kutumia Simu:+255655531702/+255623450753/+255766105099 au kwa link ya whatsapp hapa chini 


Bonyeza Link DR.KAMFIRIMBISI   

Saturday, May 30, 2020

KUONDOSHA NUKSI


DR.KAMFIRIMBISI
Nawapa faida  nyingine ya kujiondoshea mikosi mwilini mwako.
Tafuta dawa zifuatazo:-
  • Unga wa mlipu
  • Mwita
  • Muinula
  • Abatnuksi
  • Unga wa mbaazi
  • Alititi
  • Unga wa mguluka 
  • Karafuu maiti
MATUMIZI:
Changanya dawa zote kwa pamoja tumia kuoga kwa muda wa siku 7 yaani asubuhi na jioni ukiweza
Usisahau kuleta mafanikio!!!
Endapo unatatizo hili basi wasiliana na Dr. Kamfirimbisi kwa kutumia Simu:+255655531702/+255623450753/+255766105099 au kwa link ya whatsapp hapa chini 


Bonyeza Link DR.KAMFIRIMBISI   


Wednesday, May 13, 2020

KUSAFISHA NYOTA

FAHAMU KUHUSU MMEA WA MUOSHA FEDHA
Muosha fedha unaingia kwenye orodha ya mimea saba ambayo inafanya kazi kubwa katika hitaji binaadam. Mti huu huweza kungarisha nyota, kuvuta watu biashara pamoja na mambo mengine.Miongoni mwa miti saba ambayo inafanana kikazi na muosha fedha ni pamoja na mwita, mfunguo, muharaka miti mitatu naihifadh.
Miti Hii kama utaiweka pamoja inaweza kukupa matokeo haraka kwenye kazi iliyokusudiwa.
Kwa matumizi kwa ajili ya biashara:
Tafuta muosha fedha Chumvi ya mawe Pilipili nyekundu unga Mwita
Changanya pamoja choma eneo lako la biashara kwa manuiz asubuhi kabla ya kufungua kwa muda wa ck tatu
Kwa kujifungua na nuksi au mikosi:
mambo hayaendi Sawa unalopanga haliwi
Tafuta Kindu 7 Muosha fedha Nazi ya mdondo. Yai la kuku wa kienyeji. majani ya mbaazi unga Mwembe jini
Chukua kindu saba usiku wakati unataka kulala kisha uzifunge fundo moja moja kisha unasema mimi nimefungwa kilakitu na alienifunga simjui sasa namimi nimejiongezea kifungo nafunga njia zangu pia nafunga ufalme wangu na nafunga nyota zangu hadi siku zitakapo fungua hizi kamba. Kisha unaziweka mchagoni unalala na ikifika asubuhi unazitia ndani ya maji kwenyendoo ya kuogea weka na nlvyovtaja hapo juu.
Oga hivyo vyote vikiwa ndani ya hiyo ndoo ya maji kisha unaanza kufungua kindu kwa kusema,
"alie nifunga alijua kamaliza sasa kuanzia sasa najifungua" Ukimaliza kuzifungua uzichome moto halafu nazi na yai ni vya kuvuja kwa manuizi, Unasema wewe yai umefungwa na sijui kama unamtoto wa kike au wa kiume namimi sijui alie nifunga kama ni wa kike au ni wa kiume nitakavyo kufungua wewe yai namimi nifunguke haraka sana, unalivunja. Kisha unakamata nazi unasema wewe nazi hufunga na kufungua namimi najifungua kuanzia sasahivi nafungua nyotayangu, nafungua ufalme wangu, nafungua, nafungua bahati zangu kwa uwezo wa muumba mbingu na ardhi.
Ukimaliza kuvunja zoa katupe jalalan
Kwa ajili ya bahati au mvuto wa mtu
Tafuta muosha fedha unga

Unga wa Misk

Mafuta ya Misk

Mafuta ya alizet
Changanya pamoja Paka na kuchoma kwa manuizi ndani ya ck 7 biidhini llah mambo yako yatafunguka
Kazi zote muelekee mungu kwanza
Endapo unatatizo hili basi wasiliana na Dr. Kamfirimbisi kwa kutumia Simu:+255655531702/+255623450753/+255766105099 au kwa link ya whatsapp hapa chini 

Bonyeza Link DR.KAMFIRIMBISI   

Contact Form

Name

Email *

Message *