TATIZO LA GANZI YA MIGUU NA MIKONO(MIGUU KUWAKA MOTO NA TIBA
YAKE)
Ganzi ni moja ya tatizo/ugonjwa unaowakumba watu wengine sana na
ni tatizo ambalo linakera sana kwa sababu hata unapoenda hospitali Mara nyingi
hawapati tatizo lolote
NINI HASWA CHANZO CHA TATIZO HILI
1:UMRI
Kawaida mtu anapokua umri umeenda, mwili mzima uzeeka pamoja na mfumo mzima wa
damu, hii husababisha mishipa midogo midogo ya damu kufa, au kuziba hii
husababisha chakula na hewa ya oksijeni kutofika kwa ufasaha maeneo ya mbali
kama miguuni na vidoleni hali hii hupeleekea mishipa ya fahamu kukosa chakula
na hewa safi hivyo ganzi hutokea
2:KISUKARI
Sukari inapokua nyingi kwenye mzunguuko wa damu hupelekea kuunguza mishipa ya
damu halo hii husababisha mishipa kusinyaa ambalo hupelekea hewa ya oksijeni na
chakula kutofika kwa ufadsaha maeneo ya mbali sana kama miguuni na mikononi
hali hii husababisha mishipa ya fahamu kukosa chakula na hewa hivyo husababisha
ganzi
3:DAMU NZITO
Damu inapokua nzito pia hupelekea MTU kupata tatizo LA ganzi kwa ni husababisha
kutofika kwa damu kwenye mishipa midogo midogo ya damu hii hupelekea ganzi pia
4.KUKANYAGA VITU VIBAYA NJIAPATA
Baadhi ya watu wengi wamekumbwa na tatizo hili kwa kukanyaga madawa baya au matego ya watu waliotega njiapanda na kupata tatizo hilo.
Ikiwa na tatizo hili waliana na Dr. Kamfirimbisi atatatua tatizo lako
Endapo unatatizo hili basi wasiliana na Dr. Kamfirimbisi kwa kutumia Simu:+255655531702/+255623450753/+255766105099 au kwa link ya whatsapp hapa chini
Bonyeza Link DR.KAMFIRIMBISI