Showing posts with label PAGE ZA DAWA ZA ASILI. Show all posts
Showing posts with label PAGE ZA DAWA ZA ASILI. Show all posts

Monday, April 12, 2021

DAWA YA KISUKARI

 DR. KAMFIRIMBISI

Amekuja na dawa ya kutibu  sukari kwa muda mfupi ni mchanganyiko wa dawa mnyaa na maganda ya mua,magadi, chumvi n.k

Fanya mawasiliano Dr. Kamfirimbisi

ZINDIKO LA NYUMBA

 ZINDIKO LA NYUMBA NA MWILI:

DR. KAMFIRIMBISI amekuja kuwatangazia dawa ya kinga ya nyumba kiboko ya wachawi yenye kuleta majibu papopapo utapata majibu mtu akikujaribu kwa kukutupia uchawi tu utamtoa damu na mfano wa radi:

Dawa hiyo inaitwa Rushita inapatika kwa bei nafuu, kinga ya mwili ni  Tshs 50,000/= na kukinga nyumba ni Tshs 100,000/= kwa wale wakazi wa Dar es salaam wanaweza kutafuta kwa namba ya simu 0655531702 au 0623450753 au 0766105099 nitakufikia hapo hapo ila andaa kinu kikubwa.  Na kwa wale walionje ya mkoa wa Dar es salaam pia wanaweza kunitafuta nakufanya makubaliano ya kufika hapo.

Friday, August 21, 2020

MARADHI YA DONDA LILILOKO NJE YA MWILI

 Tiba  hii ni mujarrab sana kwa donda:

Chukua mafuta ya zaituni pakaa kwenye donda baada ya kuliosha vizuri kabisa, kisha baada ya hapo chukua vidonge vya Parasetamol(hizi hizi parasetamol zinazouzwa katika duka la dawa za kisasa yaani dawa za kizungu) halafu chukua vidonge viitwavyo septrin, fanya vidonge vitano vitano kila upande (yaani parasetamol vidonge vitano na septrin vidonge vitano) kisha vidonge hivi visage vizuri kabisa kipake mafuta ya zaituni kidogo, baada ya hapo nyunyiza ule unga wa vidonge hivyo hadi vilifunike donda hilo.

Ndugu yangu dawa hii ni ajabu sana namna inavyoponesha vidonda vilivyo nje ya mwili. Hivyo basi dawa hii mimi huiita kuwa ni rafiki wa watoto wakitahiriwa na ikawa vidonda hivyo vinasumbua basi komesha yake ni hiyo tu inshaallah ni mujarrab sana.

Thursday, August 6, 2020

JUICE TUMIA KAMA DAWA

 JINSI YA KUTENGENEZA JUICE (DAWA)

Maandalizi:

1.   Ukwaju kg2

2.   Hiliki robo ¼

3.   Vitunguu swaumu kg 1

4.   Tangawizi kg 3

5.   Karafuu robo ¼

6.   Abdalasin robo ¼

7.   Ndimu 30


Juice dawa ni dawa yenye uwezo wa kutibu maradhi mengi kama vile :-

Ø Ngiri

Ø Chango kwa kina mama

Ø U.T.I

Ø Taifodi

Ø Presha ya kupanda na kushuka

Ø Kilungulia

Ø Kipanda uso

Ø Kuondoa uchovu wa mwili

Ø Miwasho yua aina zote

Ø Miguu kuwaka moto

Ø Kutoa ges tumboni

Ø Kuzibua mirija ya uzazi

Ø Nguvu za kiume

Ø Maralia sugu

Ø Kupanga mpangilio mzuri wa hedhi

Ø Kutoa vitu vibaya  kama vile , umeota unakula nyama

Ø Gono / Kaswende

Friday, July 24, 2020

MBAAZI

MBAAZI- Huu ni mti maarufu sana kwa watu wengi na hutumika kama mboga ama chakula hasa kwa watu wa pwani
Pia kwa upande wa waganga,wanga,wachawi na baadhi ya majini na mashetani pia wanautumia mti huu kwenye mambo yao
Mbaazi ndiyo mti pekee wenye mambo mengi kwenye utibabu wa asili na hata uchawi kuanzia Majani,miti,mizizi,na hata udongo ulio chini ya mti wa mbaazi una kazi kubwa sana
UDONGO WA MBAAZI
1.udongo wa mbaazi ndiyo unaotumika kuwapaka misukule pindi wanapopelekwa kwenye mashamba ya wchawi au kazi mbalimbali ili wasiweze kuonekana na watu wengine
2.Udongo wa mbaazi pia hutumika kwa kuumwaga njia panda zinazoingilia kijiini ili kuwapoteza watu wabaya wasiweze kuingia katika vijiji vyao,udongo huo huchanganywa na vizimba vingine kisha huifadhiwa kwenye chungu ama tunguri kabla ya kwenda kuumwaga njia panda
3.udongo huu hutumika kutengeneza chuma ulete,mtu kupendwa na viumbe majini(hii hutumia sana waganga wanaotumia majini au vitabu)kuwatupia watu maradhi ya kichawi,udongo huu pia hutumika kumficha mtu akaweza kuingia sehemu bila kuonekana na macho ya kawaida
MIZIZI YA MBAAZI
Mizizi ya mbaazi inatibu magonjwa zaidi ya 70,yapo baadhi ya magonjwa hutibiwa kwa miziz hiyo pekee na magonjwa mengine mzizi huo huwa kiungo kwenye mchanganyiko wa miti tofauti,mfano mizizi ya mbaazi ni tiba nzuri kwa mtoto mwenye kigugumizi
pia mizizi ya mbaazi hutibu mtoto aliyechelewa sana kuongea
amka alfajiri kabla ya kuchomoza kwa jua,uwe msafi wa mwili na uvae kaniki au kitambaa cheusi
ukifika kwenye mti wa mbaazi ita jina lake mfano ewe mbaazi na uuombe maajabu yake kisha chimba mizizi ukimaliza chana kaniki funga miziz hiyo kisha fukia ulipochimba na unatakiwa uweke sadaka yako hapo chini ya mbaazi kama vile punje za nafaka mtama,mpunga n.k, viwe kiganja kimoja tu,pia unaweza kuweka pesa lkn iwe sarafu
chemsha dawa kwenye chungu cha mfinyanzi na sio sufuria,anywe mtoto kikombe cha kahawa kwa siku9 kigugumizi na kuchelewa kuongea kutaondoka.
MTI WA MBAAZI
mti wa mbaazi kuanzia kwenye shina hadi yanapoanza kuota majani yake ni dawa kali sna kwa anayetaka kupandishwa cheo,mvuto kazini,na kupendwa
kata mti wa mbaazi wenye maua na uchune magamba yake kisha uyakaushe na uyatwange mpaka ziwe unga kama tunavyosaga dawa zingine za miti,wakati wa kukata uwe na kijogoo kidogo chekundu mchinje bila ya kusema Bismillah wala kibla(sababu ni chakula cha majini)
kwenye kuutwanga au kusagwa ufanywe na msichana bikra,au bibi aliyemaliza uzazi,kisha mtu anayetaka kupanda cheo,mvuto kazini au heshima anavaa kitambaa cha rangi ya nyota yake na aoshewe dawa huku anafanyiwa dua njema
huongeza heshima,kuogopwa, na kupewa siri za wabaya wako kwani moja ya matokeo ya dawa ni kuwa wabaya wako mmoja atawasaliti wenzie na kukuletea taarifa ya kila kinachoiri kwenye mipango yao
pia mashetani na wachawi huwafunga wanyama wao kwenye miti ya mbaazi,mfano fisi,mbawala,kenge,nyoka nk
pia wachawi huifadhi mikoba yao kwenye miti ya mbaazi kwa kuwa ina nguvu kubwa za kiroho kuliko mbuyu
pia mbaazi hutumika kama fimbo ambazo hutembea nazo wachawi na wanga,mti wa mbaazi huchomekwa ndani ya ngozi ya mkia wa fisi maji au nyumbu.
pia fimbo ya mbaazi hutumika kuwaamsha misukule,kuwatoa wafu kwenye makaburi yao kwa nguvu za giza na ndiyo maana wachawi wengi wanapokamatwa huwa hawapo tayari kuipoteza fimbo hiyo na wenye kujua huwa wanaing'ang'ania fimbo hiyo na hapo mchawi atakuwa tayari kukupa kitu chochote hata mali zake zote.
MAJANI YA MBAAZI
majani ya mbaazi makavu hutumika kumpandisha ruhani asiyeweza kusema kwa sasbubu yeyote ile,changanya majani yaliyodondoka yenyewe na udi wowote kisha weka kwenye kaniki mfushe atasema bila shurutwi.
ni huduma ya kwanza kwa mtu aliyepigwa na radi na kutoka damu,wazee hutafuna majani ya mbaazi na kumpaka
mwenye kuweweseka usiku huchukuliwa majani haya na kiota cha ndege aliyekwishaangua vifaranga huchanganywa pamoja yanachemshwa na anaoga mhusika akiwa uchi kabisa kwa siku 9 atakaa sawa.
Hutumika kama kinga ya chuma ulete
pia ukitaka kuwaona wachawi kaa chini ya mbaazi usiku wa manane uwe uchi anza kunuia mbaazi ukuonyeshe watembea usiku ghafla utawaona.
MBAAZI ni mti wenye kazi nyingi zisizoisha hata kwenye vitabu vya tiba na uchawi ni mti wenye kurasa nyingi na hadithi ndefu

FAIDA YA MTI WA MKWAJU

TIBA KWA KUTUMIA MTI WA UKWAJU
Ukwaju ni mti mzuri sana na unamajina mengi kwa kutokana na pahari sehemu ulipo mfano:-
Ukwaju kwa rugha ya kilatini unaitwa TAMARINDUS,
pia ukija kwa wahindu wanamajina yao IMLI,
na pia kwa kingereza wanauwita TAMARIND TREE,
hizi ni baadhi ya nchi na wanavyo uwita na ukija tz wanauwita UKWAJU,UKWASU,MATE MATAMU,NCHWACHU,SHINK MEREMERE haya ni majina baadhi ya rugha na jinsi wanavyo uwita mti huu wa ukwaju mti wa ukwaju unatumika kwenye kazi nyingi mfano kutoa majini fusho LA majini pia unaingia kwenye zindiko LA kufanya mchawi akiingia apigwe bakora mpaka akome na kazi nyingi sana za kupiga mangu, mti huu ni wa bakora yaan mkwaju ni MUAZIBU WANGA ,ila Leo tuone kwenye tiba, mkwaju unatumika kwenye KUTIBU maradhi mbali mbali MFANO majani ya ukwaju yanatibu fangasi,kusafisha kibofu cha mkojo,KUTIBU MAUMIVU ya viungo mwilini.
MAGOME NA MIZIZ
Tatizo la kukosa choo,,matatizo katika TUMBO,tatizo LA gesi,figo,pamoja na U.T.I basi kwa hakika unatibu maradhi haya tukia kuchemsha kwa kunywa au magome kusaga kunywa kwenye uji kutwa X2,
TUNDA LA UKWAJU
Kuomdoa kemikali sumu lehamu mwilini,KUTIBU tatzo LA mmeng'enyo na ni antiseptic inayouwa bacteria na kuzuia wadudu wasikae katika ngozi .
TIBA YA UKWAJU HOMA ZA MARA KWA MARA.
kunywa juice ya ukwaju ili kukata na KUTIBU homa za Mara kwa Mara na hakika utapona kabsa na pia hakikisha juice hiyo uichanganye na manjano kidogo.
KUUNGA SEHEMU ILIYO FUNJIKA.(FRACTURE)
juice yabukwaju ukichanganya na mafuta ya ufuta weka kijiko ipate uvugu vugu kisha weka juu ya SEHEMU ILIYO vunjika.
KUTIBU NGIRI.
kunywa juice ya majani ya ukwaju kutwa X3 utapona kabsaa inshaallah.
MAUMIVU YA SIKIO
weka tone moja LA juice ya ukwaju.
Hakika utapona ajabu
KUWASHWA NA MWILI NA KUTOKWA NA VIPERE .
kama unatatzo LA kujikuna kama ukurutu or nk nasi jua hilo ni tatzo na usha tumia dawa za hospitals lakin wapi na ushatumia dawa za kisuna lakin wapi basi tumia dawa hii mujarabu ponda ponda majan


Monday, July 20, 2020

FAIDA ZA KUSOMA BISMILLAHIR RAHMAANIR RAHIIM

Ndugu yangu muislamu, Bismillahi ni aya katika aya zilizomo ndani ya qur'an na ushahidi wa jambo hili somo (Surat namli aya ya 29) na Mimtume wengi walikuwa wakiitumia BISMILLAHIR kwa mambo mbalimbali
Amesema Mwenyezi katika kitabu kitukufu. Na tunaiteremsha qu'an ambayo ni pozo na rehma kwa wanaamini (surat isaa aya 82)

Mwenye kusoma Bismillahir rahmaanir rahiim wakatia akiwa safarini mara 55 atakwenda salama na atarudi salama kwa uwezo wa Allah

Pia mwenye kutaka mum/ mke ampende mkewe/ mumewe achukue kitu kitamu kama asali au halua au tende au sukari au kitu achano penda mwenza wake na asome Bismillahir rahmaanir rahiim x 786 kisha ampe ale huyo mke/mume atampenda mumewe

Na mtu akiwa na wasiwasi na chakula ima kuna sumu au uchawi, basi wakatik wa kula asome Bismillaahil Iladhii laa yadhuru maa ismihi shaiun fil ardhwi walaa fii samaai wahuwa samiiul aliim. Kamakuna sumu itabaditilika haitomdhuru na uchawi pia utabatilika uchawi

Mtu mwenye jini mbaya.
asomewe Bismillaahir  uku ameshikwa kichwa x 786

Mwenye kuisoma mara x 50 mbele yua dhalimu au hakimu atamdhalilikia na kunyenyekea na taingiwa na uwoga moyoni mwake.

Mwenye kusoma uku ameelekea kibla na jua linachomoza siku ya jumapili idadi ya mitumie 313 harafu akamsalia Mtume mwahammad x 100 basi mwenyezi atamtekelezea kwa namna asiyoitarajia.

Mwenye kusoma x 1000 kila siku Allah atamkidhia haja zake  na ikiwa mtu amefungwa jela akawa anasoma mara elfu moja 1000 Mungu atamsaidia na atatoka jela bila kutegemea

FAIDA ZA SURAT FAT'HA (ALHAMDU)
Mwenye kusoma Surat Fat'ha x 41 kisha amuombe Mwenyezi mungu basi Allah atampoza 

Ikiwa ni mwenye madeni Allah atampa uwezo wa kuyalipa na iwapo ni dhaifu atakuwa na nguvu kadhalika yule aliyetolewa katika cheo na akataka kukirudisha cheo chake, aduu kuisoma surati fat'ha kwa namna hiyo ya 41 Allah atamrudisha cheo cahke au atampa lililo bora kuliko cheo kwa baraka na siri a surat fat'ha


Contact Form

Name

Email *

Message *