NAMNA YA KUJITAMBUA KAMA UMELOGWA AU LAA
Kurogwa
uislamu haujaruhusu mtu yeyote kufanya uchawi ni haramu kabisa:-
Uchawi
ni amali ya ukafiri uchawi hufanya kazi kwa ushirikiano na mashetani.
Uchawi
ni nini?
Kuna
maana nyingi za neno hili sihir (uchawi):
- Kukigeuza kitu na kukitoa katika hakika yake.
- Ni maafikiano baina ya mchawi na shetani ya kwamba atende baadhi ya mambo haramu au ya kishirikina ili shetani amsaidie yeye na kumtii analolitaka.
- Ni kuidhihirisha batili katika sura ya haki: hizo ni baadhi ya tafsiri za uchawi. Jambo la kuzingatia ni kwamba uchawi upo na tena unaumiza.
MTU
ALIE ROGWA NI YUPI:
Nivigumu
sana kumuelezea mtu alie rogwa kwa sababu ya kuwa yeye huwa aeleweki kwa muda
husika yaani huwezi kumfahamu kuwa kama huyu amerogwa kwa kumtazama kwa macho
ya kawaida na ndio maana kuna usemi unasema kuwa ‘’ukimwi haupimwi kwa macho’’
kwaiyo hapa chini nimekuwekea dalili za kumjua mtu alie rogwa iwe kijinni au
kibinadamu.
Dalili
za mtu mwenye uchawi [alie rogwa].
Kuumwa sana na kichwa
Presha mara kwa mara hata dawa haikubali.
Kutoona bila ya sababu
Ndoto zakutisha na zisizoeleweka.
Hedhi isiyo na mpangilio.
Ujauzito
na ukipima hauonekani.
Kuwa
na mabaka mabaka mwilini.
Kuteleza
kama samaki.
Kunuka
mwili kama uwozo au yai viza.
Kuvuka
magamba kama nyoka.
Uume
kuingia ndani.
Uume
kuto kusimama.
Uke
kutoa harufu kama unagono vile au fangasi.
Hizi
ni baadhi tu ya dalili za mtu mwenye uchawi(alie rogwa). Lakini basi na
tuangalie vipi mtu atajitambua kuwa na shetani.
Kuumwa
na kizunguzungu.
Tumbo
kuuma sana hasa chini ya kitovu.
Kichwa
kuuma kwa vipande.
Kushtuka na moyo kwenda mbio.
Mwili kushika moto.
Tumbo kuuma sana kipindi cha hedhi
Maumivu wakati watendo la ndoa.
Kulia bila sababu na kutingishika.
Mwili kuwa mzito na kuwa na hasira.
Kutembewa na vitu mwilini
Kutamani kuachwa na kuacha.
Kuwa na kauli mbaya
Maumivu chini ya uti wa mgongo.
Moyo kuuma kama ananyonyesha
Kuota unafanya jimai (mume=mke)
Kuota unazaa,umezaa au unanyonyesha.
Ukiota jimai tu mimba inatoka.
Jinamizi, usingizini, na usingizi mwingi
Kuota unapaa.
Kusimamiwa na mtu na ukigeuka hayupo.
Magomvi kila mara kwenye ndoa.
Kupoteza vitu kama pesa, mikufu, hata ukificha
Kuchanganyikiwa ndani ya swala.
Kutopenda kujipamba kwa ajili ya mume.
Kumchukia mume au mke.
Kuota unaingiliwa kinyume cha maumbile.
Maringo na kujivuna.
Huhisi unaingiliwa sio ndotoni.
Hizo
ni baadhi ya dalili za mtu mwenye shetani endapo utajigundua kama una miongoni
mwa magonjwa hayo basi chukua tahazari mapema ya tiba.
KUJIFUNGUA KAMA UMEFUNGWA KISHIRIKINA.
Kwanza kabisa una takiwa kufahamu kuwa kama
unadalili za hapo juu basi jua wewe umerogwa kwaiyo nenda katika duka la tiba
za asili au polini nenda uchukue chumvi ya mawe pamoja na kivumbasi pamoja na majani
ya mti wa mbaazi pamoja na majani ya ushanga wa bibi mti huu una majina mengi
sana na kama huufahamu vizuri basi unaweza kuwasiliana na Dr. Kamfirimbisi kwa hakika utajipatia tiba nyingi sana zaidi ya hizi
sasa basi ukisha pata mti hiyo chukua zafalani pamoja rose marashi changanya
pamoja huo ndio uwe wino wa kuandikia hii talasimu yako hakikisha unafanya siku
ya juma tano saa yoyote ile ukishamaliza kuandika loweka katika maji ya ujazo
kuanzia lita3 kwenda juu tumia kuoga usiku,Watu wa kiwa wamepumzika na maji
hayo ya kulowekea kombe lako hakikisha yawe maji ya kisima kisicho ona jua
yaani maji teka usiku na talasimu yako chukua na uloweke humo hakika ukishaioga
na kunywa utakuwa umejifungua na kuna
asilimia kubwa sana za kuuwa kabisa huo uchawi na fanya hivyo hivyo katika biashara
ilio fungwa.
Endapo unatatizo hili basi wasiliana na Dr. Kamfirimbisi kwa kutumia Simu:+255655531702/+255623450753/+255766105099 au kwa link ya whatsapp hapa chini
Bonyeza Link DR.KAMFIRIMBISI