Friday, July 17, 2020

DAWA YA KUTIBU CHIZI

Kitunguu swahumu
Mzizi wa mmavi mavi
Kasti
Halititi
ZOTE zina bambika kwenye chupa ya maji lita 5 kwa muda siku nzima atakuwa anakunywa kutwa mara 3 nusu kikombe
  Hii ndio Kasti
Baada ya hapo andaa mafuta haya:-
Mafuta ya nazi
Mafuta ya Ndimu
Mafuta ya karafuu
karafuu maiti
halititi
Changanya vyote katika chupa utakuwa unampaka mgonjwa wako

Contact Form

Name

Email *

Message *