Kitunguu swahumu
Mzizi wa mmavi mavi
Kasti
Halititi
ZOTE zina bambika kwenye chupa ya maji lita 5 kwa muda siku nzima atakuwa anakunywa kutwa mara 3 nusu kikombe
Mafuta ya nazi
Mafuta ya Ndimu
Mafuta ya karafuu
karafuu maiti
halititi
Changanya vyote katika chupa utakuwa unampaka mgonjwa wako
Mzizi wa mmavi mavi
Kasti
Halititi
ZOTE zina bambika kwenye chupa ya maji lita 5 kwa muda siku nzima atakuwa anakunywa kutwa mara 3 nusu kikombe
Hii ndio Kasti
Baada ya hapo andaa mafuta haya:-Mafuta ya nazi
Mafuta ya Ndimu
Mafuta ya karafuu
karafuu maiti
halititi
Changanya vyote katika chupa utakuwa unampaka mgonjwa wako