Sunday, July 12, 2020

TIBA YA KUFUNGUA HEDHI:

Tatizo la wanawake kukosa hedhi limekuwa ni tatizo kubwa sana, kiasi wanawake wengi huishi kwa kukosa furaha kwa kuto ona hedhi yake, wapo wanawake hukaa mpaka miezi mitatu au nane bila kupata damu hiyo ambayo kwa kutoona kwake yaweza msababishia ugumba kwamaana ya kukosa uzazi.
Lakini tatizo huwa lina sababu mbili mpaka tatu.
1 utumiaji wa njia ya uzazi wa mpango
2 majini mahaba
3 kurogwa na maradhi yote haya hutibika kwa

Jinsi ya kutibu chukua:
1 sufa ya unga
2 chumvi ya unga
changanya pamoja
kisha baada ya hapo utakuwa unachota dawa kijiko kidogo na kuweka katika maziwa ya moto kikombe kimoja na kunywa kwa kila asubuhi na usiku kwa siku 11
hedhi itafunguka lakini kama ni majini au uchawi na itakuwa bado haujaondoka kwani itakuwa ikikuejea mara kwa mara mpaka umuondoe jini husika na maradhi yako.

Contact Form

Name

Email *

Message *