Tuesday, June 2, 2020

VUTA WATEJA

KUVUTA WATEJA KATIKA BIASHARA YAKO.

Hii ni talasimu katika talasimu bora basi hii ni mujarabu sana na haina masihara naam kama unabiashara na unaitaji wateja waingie kwa wingi sana ama unataka pesa zingie kwa wingi basi usisite kuanda hii chukua zafarani na miski nyeupe ya mafuta chora talasimu hii kwa kutumia mchanganyiko huo katika karatasi nyeupe kisha chukua ngozi ya mnyama fulani anapatikana polini anaitwa nguruka na kama utakosa huyo mnyama basi tumia ngozi ya ngekewa kushonea nje kwa hakika utakuwa na mvuto wa ajabu sana na abaada ya kushonea kama azima unacho itajika wewe ni kusomea, somea surat waqia X4 huku ukiwa unaifusha ubani uvumbana ubani zhura siku ya kuiyandaa nisaa ya kuingia kwa wakubwa ama ni saa ya mapenzi siku yoyote ile ila inapendeza siku ya alhamisi kuamkia ijumaa naam ukimaliza kuiyandaa basi nenda katundike katika biashara yako au weka katika sehemu unayo tunzia pesa kwa hakika hii nimewapa kama zawadi wanafunzi wangu. 



Hii talasimu imekusanya vitu vingi sana hata ukiangalia katika mjumuiko wa imamu ghazali alielezea sana talasimu hii naam leo Dr. Kamfirimbisi nimekuletea talasimu hii na wewe uitendee kazi kwa hakika utaona matunda yake cha kuzingatia ni muda.
 Wasiliana na DR. KAMFIRIMBISI kwa namba :-

+255655531702 /+255766105099
Whatsapp:+255623450753 au tembelea blog yake drkamfirimbisi82.blogspot.com mara kwa mara 
Endapo unatatizo hili basi wasiliana na
Dr. Kamfirimbisi kwa kutumia  link ya whatsapp hapa chini

Bonyeza Link DR.KAMFIRIMBISI   



Contact Form

Name

Email *

Message *