Tuesday, June 2, 2020

MBAYA WAKO



  KUFAHAMU NANI MBAYA , NANI MZURI JUU 
YA MAISHA YAKO.
Ikitokea kuwa kama una mashaka juu ya watu unao ishi nao basi usijali chukua majani ya mnanaa yawe 7 pamoja na tunda zake saga kwa pamoja na kisha chukua udi mkali yaani udi wenye harufu kali sana changanya pamoja kisha tumia kuchoma katika chumba chako ama nyumba yako kwa hakika ukichoma kwa manuizi mchawi ato thubutu kuingia ndani ya nyumba yako ama biashara yako choma unga huo kwa siku 3 na kama utakosa majani yake usijari chukua hata unga wa majani yake kwa hakika hauto jutia choma kwa manuizi 48 utakayo maana mananaa una majina mengi sana ila niwadokeze kuhusu mnanaa kidogo.

Huu ni mnana or tarumbeta la shetani mti huu una kazi nyingi sana kwani unauwezo wa kumwita mtu alie mbali kama utapata unga wa majani yake ukichanganya na MWITA, MLIPU, MVUTE, MWARAKA, MDAULA hapo utaweza kumudu na wito wa mapenzi mteja kwenye biashara yako,Na kama unataka kumvuta mpenzi choma usiku wa saa6 ukiwa uchi wa unyama huku ukiwa unamuita umpendae "WEWE MNANAA WEWE NI FIRIMBI YA KUZIMU KAMA KUNA MTU HATO LISIKIA BARAGUMU BASI NA HUYU ASISIKIE SAUTI YANGU MIMI FULANI MZALIWA WA FULANI NAMUITA , ILA KAMA BARAGUMU LINASIKIKA BASI NA MIMI HUYU FULANI 49

MZALIWA WA FULANI ANISIKIE NA ANIITIKE KUANZIA LEO HII NAMBADILISHA KUWA MWENDA WAZIMU WA MAPENZI AKILI YAKE ILALE KAMA MNANA UNAVYO WEZA KUWALALISHA WENYENYUMBA WEIZI WAPATE KUIBA BASI NA MIMI NAITAJI AJE HUYU MAWAZO YAKE YOTE ANIFIKILIE MIMI NANIWAZE MIMI KILA AKAAPO NA KILA ALALAPO YEYE FIKILA ZAKE ZIWE JUU YANGU MIMI WEWE FULANI BIN/BINT FULANI NAKUITA KWA NGUVU ZA MOTO, UDONGO,MAJI PAMOJA NA UPEPO NJOO KWA NGUVU ZA SOLOMONI"
Hapa nimetoa siri kubwa sana kwa waganga hebu jiongezeni maana mti huu ni kiboko mnoo sawa hii utaichoma X1 tu, tena usiku mmoja tu maana ukizidisha siku kuna 50
uwezekano mkubwa sana kwa unae muita kumtia utahiraa .
Fanya hii ni mujarabu sana majibu yake ni siku 7 ndan yake
Naam mti huu unaweza kutibu mtu alie kuwa kichaa endapo utachanganya na pweza basi ni fusho tosha kabisa la kijini na kichawi kama kuna jini basi lazima afeeh.

Mti huu ndio unaotengenezewa vidonge vya sleep pells kwani ukiwa umekula unga huu ujazo wa robo kijiko cha chai kwenye uji kikombe kimoja utalala kuanzia saa moja mpaka saa 8 ila inashauliwa dawa hii usiitumie kama wewe unaakili timamu maana itakufanya uwe teja or taila naam . 51

Kwa leo tuishie hapo kwani mti huu kama utapaka puani au ukipuliziwa puani basi ukiuvuta tuu unga huu utalala fofofoooo pasipo kushtuka hata kama mupo watu 1000 wote muta lala unga huu asili yake ni mkari kama ugoro na unaparia na unaathiri ya kukereketa mdomoni pia ni mchungu kama MPUTURURU vile.

Endapo unatatizo hili basi wasiliana na Dr. Kamfirimbisi kwa kutumia Simu:+255655531702/+255623450753/+255766105099 au kwa link ya whatsapp hapa chini

Bonyeza Link DR.KAMFIRIMBISI

Contact Form

Name

Email *

Message *