Saturday, June 6, 2020

MVUMBASI

MTI UNAOHESHIMIWA NA MAJINI WA AINA ZOTE.
Mti huo si mwingine bali ni mwinula,mvumbula au wengine wanauita mvumbasi.Mti huu kama kuna jini ana kusumbua kwa kukuletea ukorofi wa kukuminya minya mwili au kichwa kuumwa basi ukichukua tu majani yake ukayapikicha na kuyaogea basi huyo jini anatulia mwenyewe.Mti huu unapowekwa katika nyungu unawasogeza karibu majini wote wa bara na wale wa pwani.Ukichukua mti huu ukatembea nao mfukoni basi ukienda sehemu kuomba chochote inakua ni nadra sana kukataliwa kwa kuwa ndani ya huo mti kuna jini ambaye anausimamia na kuupa nguvu.Kwa mtu alietawaliwa na MAJINI wa kiarabu anashauriwa anapokogea majani ya mti huo achanganye na maji ya marashi rose ili kuwaweka sawa majini wake na kuwafanya wasigombane au kumuumiza,ni mti ambao pia licha ya kutoa nuksi una nguvu ya kupambana na uchawi. 


FAIDA ZA MTI WA MVUMBASI KATIKA AFYA UZAZI SIHIRI NK
Mvumbasi ni mti mdogo mno kimaumbile lakini kitiba mti huu unaingia kwenye orodha ya miti mikubwa tents faida katika maisha ya binaadamu.
Mti huu hutibu magonjwa mengi Hapa kwa ufupi ntaongelea magonjwa kumi tu
Matatizo ya hedhi
Maumivu hedhi haitoki kwa wakati chukua majani ya mvumbasi fikicha kwenye jagi hakikisha maji yabadilike rangi na ladha
Kunywa Mara tatu kwa ck ndani ya ck tatu
Hii haihusiana na tatizo la chango uzibaji mirija
Kubana uke
Chukua majani ya mvumbasi twanga iwe kama kisamvu Chuja
Tumia maji hayo kuchambia
Pia uck weka kwa bibi kwa pamba
Fanya ndani ya ck ya saba
Una vuta vitu vinavyotembea mwilini
Pakaa kwa mvumbasi kwa kunuia hvyo vtu viondoke
Kabla ya kupaka somea ayatul kursiyu saba
Mtu anayeteswa na jini liliopanda halitaki kutoka
Mnusishe mvumbasi puani Mara kadhaa litaondoka lenyewe
Aliyekumbwa na upepo mbaya
Akoge maji yaliyochanganywa na mvumbasi
Kuua mbu
Choma majani makavu ya mvumbasi eneo lenye mbu hakika hawatakaa
Miguu kuwaka moto
Chukua majani makavu ya mvumbasi majani ya mnungunungu choma upate unga wake changanya na Mafuta ya taa Lita moja Tumia kupaka Mara tatu kwa ck ndani ya ck 30 utapata matokeo makubwa.
Kujiimarisha kimchezo
Kama ni mwanamichezo mchezo wowote kabla hujaingia koga maji ya mvumbasi na tafuna punje tatu za tunda zake Nenda kacheze hakika utakuwa mshindi
Matatizo ya macho
Chukua majan matano ya mvumbasi twanga weka kwenye kitambaa laini nyunyizia matone matatu jichoni.
Kwa wenye matatizo ya uzazi Kwa matatizo ya uzazi wasiliana na Dr. Kamfirimbisi
Nguvu za kiume Kwa tatizo la nguvu za kiume wasilina na Dr kamfirimbisi

Endapo unatatizo hili basi wasiliana na Dr. Kamfirimbisi kwa kutumia Simu:+255655531702/+255623450753/+255766105099 au kwa link ya whatsapp hapa chini

Bonyeza Link DR.KAMFIRIMBISI

Contact Form

Name

Email *

Message *