Monday, June 8, 2020

MTOPETOPE

KAZI ZA MTOPE TOPE
1) MTOPE TOPE NI DAWA YA UVIMBE WA TUMBO
CHUKUA MIZIZI YAKE ITWANGE ITOKE UNGA KISHA TUMIA KWENYE UJI INSHAALLAH TATIZO LITAONDOKA
2)NI DAWA YA GANZI
MIZIZI YAKE NDIO DAWA KUBWA SANA KWA MTU ALIYE NA GANZI ENDAPO UTATUMIA KWA UFASAHA ZAIDI BASI GANZI MWILINI ITATOEKA INSHAALLAH
NA KUNA KAZI ZINGINE NYINGI SANA YA MTI WA MTOPE TOPE NI MTI WENYE MAAJABU ZAIDI
PIA KWA SHIDA NA MATATIZO MBALI MBALI UNAWEZA NITEMBELEA WHATSSAP PALE ILI TUFANYE KITU CHA UHAKIKA ZAIDI NA SIO UBABAISHAJI MAANA NAMI NI MIONGONI MWA WATU WASIOPENDA UBABAISHAJI

Contact Form

Name

Email *

Message *