Hakika katika talasimu za
ajabu hii ni talasimu ya ajabu sana na inauwezo mara dufu kukupa kile
ukitakacho, talasimu hii inatawaliwa na surat fatiha ukitaka kuitumia talasimu
hii basi chola talasimu hii ama toa wasiliana na Dr. Kamfirimbisi hatakutumia talasimu hii siku ya alhamisi au juma
tatu iwe saa moja asubuhi au saa nane mchana na unatakiwa kuizungushia manuizi
yako kuwa kama ‘’MMI KAMFIRIMBISI NAKUITA EWE AMINA BINT JUMA HUKO ULIPO
AKILI YAKO YOTE IWAZE KURUDI NYUMBANI NA UJE PASIPO KUCHELEWA’’.Huu ni mfano wa
manuizi yatakayo kuwa yanaandikwa nje ya talasimu hii kwa lugha utakayo ona
wewe inakufa kisha isomee
surat fatiha X41 huku ukiwa unaifusha ubani msafi ubani zuhura au makka au
uvumba kisha nenda katundike juu ya mti iwe inapepea kama kipepeo.Kwa hakika
unae muita ato sita kuja tena kwa haraka sana na tambua tatizo hili la kuita
mtu ni changamoto kwa waganga wengi sana lakini leo nimewapa njia hii ni
mujarabu sana na itendee kazi utaona jinsi ya mambo yatakavyo kuwa mazuri naam.
Endapo unatatizo hili basi wasiliana na Dr. Kamfirimbisi kwa kutumia Simu:+255655531702/+255623450753/+255766105099 au kwa link ya whatsapp hapa chini
Bonyeza Link DR. KAMFIRIMBISI