Tuesday, June 2, 2020

BIASHARA


KUFUNGUA BIASHARA ILIYO FUNGWA.

Ikitokea kuwa biashara yako imefunga kishirikina au hata kama imezikwa basi wewe chakufanya ni rahisi sana kuna njia mbili au zaidi za kuagua biashara lakini leo tuangalie ile njia nyepesi na mujarabu kwanza kabisa  chukua mchanga wa kuzunguka eneo lako la biashara na kama nje hakuna pa kuchota mchanga basi fagia mchanga wa ndani ya ofisi yako hata kama ni kidogo inatosha sana chukua na dawa inayoitwa mfunguo,habat nuksi,mwinura au kivumbasi pamoja na majani ya mzaituni au mafuta yake changanya pamoja alafu utumie kuoga na kama una weza kujifusha,ndio uanze kuosha ama kupigia deki katika eneo lako huku unanuizia kwa kusema ‘’EH! MUNGU WANGU ULISEMA NIOMBE KHERY NITAKUPA NIOMBE SHARI NITAKUPA LEO HII WALIO OMBA SHARI JUU YANGU UMEWAPA BASI NA MIMI KUANZIA SASA NAOMBA KHERY NAOMBA UFUNGUZI WA BIASHARA YANGU IRUDI KUWA KAMA ZAMANI NASAFISHA NUKSI,MIKOSI,MABALAA,KIZA CHA MIAKA NA MIAKA NAOMBA MUNGU UNISAIDIE’’ kwa kutokana na mfano wa manuizi haya basi kwa hakika mungu atafungua biashara yako ama njia nyingine chukua ule mchanga na uzisomee surati jinni aya ya 1 mpaka ya 9 huku ukiwa umefunga macho na kunuizia kuanzia leo nawafunga majini na watu katika eneo hili watakao kuja kuroga na kuiba kisha utasoma surat fatiha X99 kwa manuizi ya kufungua eneo lako kisha mchanga huo nenda kaumwage katika eneo lako la biasha yaani utaurudisha tena pale pale kwa hakika utaona maajabu ya dawa hizi.

Endapo unatatizo hili basi wasiliana na Dr. Kamfirimbisi kwa kutumia Simu:+255655531702/+255623450753/+255766105099 au kwa link ya whatsapp hapa chini


Bonyeza Link DR.KAMFIRIMBISI


Contact Form

Name

Email *

Message *