DAWA ZA ASILI
'MVUJE FAIDA NA MATUMIZI' WATOTO WACHANGA, MAMA NA BABA
MVUJE umeagawanyika katika sehemu
tatu majani mafuta na donge yaani kipande. Ungana nami kwenye makala haya
kufahamu faida na matumizi yake katika afya hususani watoto wachanga
Kwa watoto wachanga wanaolia na
kustuka usiku unaweza kumfunga donge la mvuje mkononi na kitambaa cheusi kisha
ukamkogesha kwa maji yaliyochanganywa na majani ya mvuje haltiti na kiberiti
upele chemsha muogesha siku tatu tu asubuhi na jion.Hii hutokaa kusikia kabisa watoto kulia lakini pia humkinga watu wabaya ambayo wanakuja
kumuangalia mtoto.
Hata watu wazima wanaoota ndoto
za kuingiliwa kimwili usiku wanaweza kujifunga mvuje kama kinga ya kumzuia kuja
kukuingilia huku ukifuata taratibu za kumtoa huyo jini.
Mtu aliyekumba jini mbaya unaweza
ukamfusha na nyungu ya mvuje kama huduma ya kwanza huku taratibu zingine
zikifuata.
FAIDA ZA MAFUTA YA MVUJE
1.Huondoa degedege kwa watoto utampaka mwili mzima
na kumnusisha kidogo puani
1.Huondoa degedege kwa watoto utampaka mwili mzima
na kumnusisha kidogo puani
2.Mafuta yake ni kinga dhidi ya Jinamizi paka usiku wakat
wa kulala
wa kulala
3.Wale wenye tatizo la kuota ndoto mbaya mpatie mafuta
ya Mvuje
ya Mvuje
4.Maradhi ya kupooza viungo vya mwili(kupararaizi). Hii
hutegemea na aina ya
palalazi kuna palalaizi ya misuli
kusinyaa na ya jini kila aina ina utibabu wake fika ofisini
uchunguzwe
kusinyaa na ya jini kila aina ina utibabu wake fika ofisini
uchunguzwe
FAIDA NA MATUMIZI YA MAJANI YA
MVUJE
KUONDOA MADOA NA CHUNUSI : Unatwanga a-majani yake kisha unakamulia maji ya ndimu na kuyapaka usoni inaondoa machunusi na madoa sugu usoni. Unapakaa kila siku mara 1 mpaka madoa yanapotea.
KUONDOA MADOA NA CHUNUSI : Unatwanga a-majani yake kisha unakamulia maji ya ndimu na kuyapaka usoni inaondoa machunusi na madoa sugu usoni. Unapakaa kila siku mara 1 mpaka madoa yanapotea.
Muhimu mvuje unaoatiakana
maporini na majumbani mvuje wa donge na mafuta yanapatikana maduka ya dawa
asili