Dua Hii Ya Mahaba ... Dua Hii Huandikwa Kwenye Kiganja Cha Mkono Wa
Kulia Kwa ZAAFARANI Kisha Kamguse
Mtu Umtakaye Akupende Kwa MAHABA Maneno Yenyewe Ya Kuandika Kiganjani Haya
Naam Ndugu
Maneno Haya Kama Huamini Kama Yanafanya kazi Basi Jiandike Mkononi Kisha Mguse
Mnyama Yoyote Utaona Maajabu Mnyama Huyo Atakavyo Kufata ...
Naam DUA Inayofata
Dua Hii Ukitaka Kukidhiwa Haja Yako Basi Soma MANENO Haya Mara 《 16 》 Kila Siku
Maneno Yenyewe Ya Kuyasoma Haya Hapa
Naam Fanya
Hivyo Mpaka litakapo Kamiika Jambo lako Aidha Kuomba kazi Fanya hivyo Kama Mtu
Unamdai Mpaka akisha kulipa Ndio Utaacha kusoma Uradi Huo Au Unaweza kuendeleza
kwenye maisha yako Hii Mujarabu ..