Kwa mwanamke ambae ameshawah kukutana na jambo hili zaid ya mara moja basi
anajua ni fedhea kiasi gan hua anapata na kukosa hamu kabisa ya kuendelea na
jimai
SASA TATIZO SIO KUSIKIKA KWA SAUTI HUYO ILA NI MUME KUTOKUJUA NI NINI HALI HIYO JE
NI UGONJWA TATIZO AU NI JAMBO LA KAWAIDA AKISHA JUA HILI HATA WEZA KUMCHEKA
MWANAMKE NA KUMUONA WA AJABU KIMAUMBILEKWANINI UKE HUTOA SAUTI
Umbo la uke lipo katika hali ya mikunjo mikunjo kitaalam huitwa VAGINA RUGAE ambapo mikunjo hiyo ipo kama mikunjo ya bati sasa pindi inapo ingia hewa huiminya na kutoa nje ndo maana kuna mikao ukikaa hufanya uke kufinya hewa ile na hewa kutoka kwa kutoa sauti ima kwenye jimai kwenye mazoez au hata ukiwa unafanya usafi
IKIWA IMETOKEA WAKATI WA JIMAI
Nilisha sema kua uke na uume hua mfano wa sindano za hospital ( injection ) unapo vuta hutoa fyonza hewa ilio ingia ndani au hufyonza dawa ulio iweka kwenye kichupa kitendo hiki hakina tofauti na uume kuiingia kwenye uke na kutoa.
Kuna mikao ambapo hupelekea hewa kuingia na uume unapo toka ima kuingia huiminya hewa hiyo na hapo hutoa mlio ukiangalia kwa makini ni kama vile koromeo likipitisha gesi/hewa hutoa mlio sawa sawa na huo japo huu unauita kucheua na ule una sema ni kama ushuzi lakin sio hivyo ikiwa utatafakari.
SABABU ZA UKE KUTOA MLIO
UREFU WA UKE kutoka katika kizazi japo sio wote
UDOGO WA UUME HASWA UPANA (GIRTH) unaweza kua na uume mrefu na bahati mbaya ukawa sio mnene kuweza kushika kuta za uke na upepo kuweza kuingia pindi unapo ingiza.
WATU WALIO JIFUNGUA japo sio wote
KUTANUA UKE kupita kiasi chake haswaa katika mikao
NINI CHA KUFANYA
ANGALIA MIKAO YA KUFANYA AMBAYO HAITA RUHUSU HEWA KUINGIA NDANI
TUMIA MAJI YA BARIDI KUJISAFISHIA UKE KILA UNAPO MALIZA RAUNDI KATIKA JIMAI AU KUJISAFISHA IMA UKIWA UMETOKA CHOONI AU ASUBUHI
FANYA MAZOEZI YA KEGEL yana faida nyingi sana na nimeshaelezea sana.
NINI CHA KUFANYA
ANGALIA MIKAO YA KUFANYA AMBAYO HAITA RUHUSU HEWA KUINGIA NDANI
TUMIA MAJI YA BARIDI KUJISAFISHIA UKE KILA UNAPO MALIZA RAUNDI KATIKA JIMAI AU KUJISAFISHA IMA UKIWA UMETOKA CHOONI AU ASUBUHI
FANYA MAZOEZI YA KEGEL yana faida nyingi sana na nimeshaelezea sana.
Endapo unatatizo hili basi wasiliana na Dr. Kamfirimbisi kwa kutumia Simu:+255655531702/+255623450753/+255766105099 au kwa link ya whatsapp hapa chini
Bonyeza Link DR.KAMFIRIMBISI
Bonyeza Link DR.KAMFIRIMBISI