MLANGO WA NDOA NA
USHIRIKA NA JAMBO LOLOTE
Endapo unataka kuchambuliwa nyota yako wewe na mpenzi wako wasiliana na
DR. KAMFIRIMBISI
kupitia namba zifuatazo: +255655531702
Whatsapp +255623450753
Ndoa
nyingi zinakuwa na migogoro,chuki, kufarakana na wapenzi wao kutokana na kutoangalia
utabibu wa kinyota baina ya mke na mume au biashara zinakufa kutoangalia ni
biashara gani nifanye kulingana na nyota yangu na ni mtu gani nimshirikishe
kuanzisha biashara au mausiano ya kimapenzi ambaye tunaendana kinyota.
Jifunze kuangalia
ushirikiano kwa kutumia mfano ufuatayo:-
Tumia
mfumo wa ABJADI chukua hesabu ya jina la mwanaume na mama yake gawa kwa 12 . Kisha
chukua tena jina la mama yake gawa kwa 12. Hii hata kwa ushirikiano:
1.
Ikiwa
zinalingana zilizobaki – kuna heri
Ikiwa moja imezidi nyingine basi chukua ile
nyingine utowe ndogo ikibaki moja – Mapenzi yao yatadumu
2.
Kutakuwa
kati yao uhasama na chuki
3.
Kutakuwa
na ali ya wastani
4.
Watakuwa
na mapenzi na mambo yao yatakuwa mazuri
5.
Watakuwa
na mapenzi na mambo yao yatakuwa mazuri
6.
Wanauelekeo
mzuri katika ali zao
7.
Hataafikiana
8.
Mwanamke
safi mume ovyo
9.
Hali
yao ni wastani
10.Yatakuwa mapenzi mema
11.Kutakuwa na ubaya ufisadi na mfaraka
MFANO: MUHAMADI IBIN ZAINABU
jumla 161
HANAM BINT SAKUNAI jumla 241
161 Sakti kwa 12 imebaki 5
241 Sakti kwa 12 imbaki 1
Chukua 5 – 1=
baki 4
Chukua jina la
mtakaji na la mama yake na jina la mtakiwa na la mama yake gawa kwa 9:
1-1 Watakuwa na uwezo na msaada
1-2
Wataafikiana kwenye maisha
1-3
Maisha yao ni mazuri pamoja na
kusamehana
1-4
Ataingia mtu atawafasadi kwa ubaya
1-5
Mke amependa mume wala hamtolei kauli
mbaya
1-6
Uwezo, msaada na amani
1-7
Kheri kwa muda na muda ufisadi
1-8
Penzi litagawanyika
1-9
Hali yao itakuwa nzuri kwa mwaka kisha
itabadilika
2-2
Furaha kisha itangia doa
2-3 Furaha tu
2-4 Furaha kisha itaingia karaha na kila mmoja
kumhofu mwenzake
2-5
Amani na upendo kisha watarudi kwenye
shari
shari
2-6
Wote wanapendana kwa siri na zairi
2-7
Amani kisha yataingia kati yao maneno
mabaya yatakayo wafarakanisha
mabaya yatakayo wafarakanisha
2-8
Watafurahisha maisha yao kisha itaingia
shari
shari
2-9
Tatokea mabadiliko katika mapenzi yao
mpaka wasihaminiane
mpaka wasihaminiane
3-3
Amani na upendo kisha mabadiliko
3-4
Kheri nyingi
3-5
Kheri nyingi kisha faraka na uzuni
3-6
Mwanamke mambo yake mazuri lakini
kutatokea mabadiliko
kutatokea mabadiliko
3-7
Mke mdomo mchafu lakini haitoki shari
kwao
3-8
Huyu ana kheri na upendo popote aishipo
3-9
Shari na vikwazo mpaka watafarakana
4-4
Anakheri na upendo kisha itaingia
bughuza
4-5
Upenzi wao ni mzito utakuja ingia dosari
4-6
Uhusiano wao utavunjika
4-7 Watapendana wala hawato tarikiana
4-8
Husuda na kufarakana
4-9
Litaharibika pendo lao na faraka
5-5
Kheri na upendo
5-6
Furaha kila siku
5-7
Mapenzi mazuri
5-8
Shari kabla ya upendo kugeukana wala
hawatafarakana
5-9
Amani, furaha na huruma kisha nyoyo zao
zitabadilika
6-6
Ugomvi utakaosababishwa na ndugu zao
6-7
Mapenzi mzuri
6-8
Shari na balaa
6-9
Penzi, kwa sababu ya mabadiliko
watafarakana
watafarakana
7-7
Pendo kisha itaingia faraka
7-8
Mzuri lakini maneno mengi, watafarakana
7-9
Mabadiliko yatawafanya wafarakane
8-8
Amani na upendo
8-9
Wataishi muda mrefu kisha kutatokea
maneno ya kufrakana
maneno ya kufrakana
9-9
Wataishi katika hali ya faraka na mapenzi