IFAHAMU HUDUMA YA KWANZA KWA MTU ALIYEPALIWA
Dalili za kupaliwa ni zipi?
mtu akipaliwa hua na dalili zifuatazo
kushindwa kuongea
kushindwa kupumua kawaida
kushindwa kukohoa
lips za mdomo kubadilika na kua blue sababu ya kukosa hewa
kupoteza fahamu.
Utamsaidia vipi mtu aliyepaliwa?
mtu akipaliwa kama nilivyotaja hapo juu hushindwa kuongea, anaweza kuja kwako mbio bila kusema chochote akawa anakonyesha kwa vitendo tu lakini pia unaweza kua uliona wakati anapaliwa hivyo fanya vifuatavyo..
mpige ngumi au makofi matano mgongoni kwa nguvu lakini
usitumie nguvu sana hasa kama ni mtoto, ukiona bado kitu
hakijatoka simama nyuma yake kisha weka mikono yako
kwenye tumbo la mgonjwa karibu na kifua kama picha
inavyoonyesha hapo juu lisha vuta kwa ndani na kuachia
mara tano kitaalamu kama heimlich manouver, lakini hii ya
kuweka mikono tumboni mtoto awe na zaidi ya mwaka
mmoja.
ukiona kitu kilichompalia kimetoka na mgonjwa hapumui
mlaze chini kisha kandamiza kifua na kuachia kitaalamu
kama cardio pulmonary resuscitation baada ya hapo
mgonjwa apelekwe hospitali kuangalia kama kuna madhara
yeyote ameyapata.
kupaliwa ni nini?
hii ni hali ya kukabwa na kitu kwenye koo ya hewa, inaweza kua chakula kitu chochote ambacho mtu alikua anakichezea mdomoni na hatimaye kikaenda kukwama kwenye koo la hewa.
Ripoti ya shirika la afya duniani lilionyesha kwamba zaidi ya watu 162000 walifariki mwaka 2015 sababu ya kupaliwa na kukosa msaada wa haraka, idadi hiyo imetajwa kuongezeka muda unavyozidi kwenda lakini pia kupaliwa kunaweza kua hatari zaidi kwa watoto wadogo kwani anaweza kuweka kitu mdomoni na watu wakashindwa kujua kilichotokea.
mara nyingi watu hupaliwa na chakula, hela ya chuma, karanga, maharage,pini,kucha na kadhalika...
hii ni hali ya kukabwa na kitu kwenye koo ya hewa, inaweza kua chakula kitu chochote ambacho mtu alikua anakichezea mdomoni na hatimaye kikaenda kukwama kwenye koo la hewa.
Ripoti ya shirika la afya duniani lilionyesha kwamba zaidi ya watu 162000 walifariki mwaka 2015 sababu ya kupaliwa na kukosa msaada wa haraka, idadi hiyo imetajwa kuongezeka muda unavyozidi kwenda lakini pia kupaliwa kunaweza kua hatari zaidi kwa watoto wadogo kwani anaweza kuweka kitu mdomoni na watu wakashindwa kujua kilichotokea.
mara nyingi watu hupaliwa na chakula, hela ya chuma, karanga, maharage,pini,kucha na kadhalika...
mtu akipaliwa hua na dalili zifuatazo
kushindwa kuongea
kushindwa kupumua kawaida
kushindwa kukohoa
lips za mdomo kubadilika na kua blue sababu ya kukosa hewa
kupoteza fahamu.
Utamsaidia vipi mtu aliyepaliwa?
mtu akipaliwa kama nilivyotaja hapo juu hushindwa kuongea, anaweza kuja kwako mbio bila kusema chochote akawa anakonyesha kwa vitendo tu lakini pia unaweza kua uliona wakati anapaliwa hivyo fanya vifuatavyo..
mpige ngumi au makofi matano mgongoni kwa nguvu lakini
usitumie nguvu sana hasa kama ni mtoto, ukiona bado kitu
hakijatoka simama nyuma yake kisha weka mikono yako
kwenye tumbo la mgonjwa karibu na kifua kama picha
inavyoonyesha hapo juu lisha vuta kwa ndani na kuachia
mara tano kitaalamu kama heimlich manouver, lakini hii ya
kuweka mikono tumboni mtoto awe na zaidi ya mwaka
mmoja.
ukiona kitu kilichompalia kimetoka na mgonjwa hapumui
mlaze chini kisha kandamiza kifua na kuachia kitaalamu
kama cardio pulmonary resuscitation baada ya hapo
mgonjwa apelekwe hospitali kuangalia kama kuna madhara
yeyote ameyapata.
mwisho; huduma hiyo ya kumsaidia mgonjwa inatakiwa ifanyike
haraka baada ya mgonjwa kukabwa kwani kukosa kwa hewa ndani ya dakika tano
huweza kuleta kifo, lakini pia ukipata elimu hii wafundishe jamaa zako na ndugu
zako kwani ukipaliwa wewe hutaweza kujisaidia.