Monday, June 29, 2020

MJAFARI

FAIDA YA MTI WA MJAFARI KATIKA TIBA :
Asalam alykumu nyote.Tufahamu kwamba mti huu una faida kubwa sana hususani katika masuala ya tiba.Mti huu una mambo makubwa sana kwani,hutibu matatizo ya chango,vidonda vya tumbo,UTI,gonolea na kaswende,kikohozi,meno,kifafa,kisukari,malaria,taifodi,T.B,huzuia kuharisha na kutapika.Mjafari kuanzia majani yake ni mvuto wa ajabu,mbegu zake na mizizi ni tiba kubwa kwa wenye matatizo ya mchango ukipata unga wake utatumia kijiko kimoja cha cha kula x3.Mjafari mujarabu katika kusafisha nyota na kukufanya uwe maarufu ama ukihitaji kutoa nuksi,majini wachafu na vifungo tumia mjafari.Nitaelezea namna ya kutoa nuksi,majini wabaya,vifungo,na kusafisha nyota kwa kutumia mjafari jiunge katika group langu la Dr.kamfirimbisi kupitia whatsapp 0623 450753  tiba ya kweli ufumbuzi wa matatizo ya uchawi,vifungo na nuksi upate mengi zaidi.Kwa tiba mbalimbali tuwasiliane
Endapo unatatizo hili basi wasiliana na Dr. Kamfirimbisi kwa kutumia Simu:+255655531702/+255623450753/+255766105099 au kwa link ya whatsapp hapa chini



Bonyeza Link DR.KAMFIRIMBISI

Contact Form

Name

Email *

Message *